Imetumwa: May 4th, 2020
Na.Yuster Sengo
Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Ulanga Mh. Nassoro Kihiyo amewataka viongozi wa kata ya ruaha kuwaelimisha wananchi wa ruaha kuchukua tahadhari juu ya ugonjwa wa corona na ku...
Imetumwa: February 27th, 2020
Na.Yuster Sengo
Halmashauri ya wilaya ya Ulanga imepanga kukusanya zaidi ya shilingi bilioni 28(28,434,490,700.00) katika kipindi cha mwaka wa fedha 2019 -2020 hii ikiwa ni mapato ya ndani ya halma...
Imetumwa: February 26th, 2020
Na. Yuster Sengo
Mkuu wa wilaya ya Ulanga Mh.Ngollo Malenya amempongeza hakimu wa mahakama ya wilaya ya Ulanga Mh. James Muhanusi Kwa adhabu ya kifungo cha maisha aliyoitoa kwa bw. Mohamed Ramadhan...