• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

Kilimo na Ushirika

Idara ya kilimo,Umwagiliaji na Ushirika ni miongoni mwa Idara zinazotoa huduma katika jamii.Idara inatoa ushauri wa mafunzo kuhusu kilimo bora,Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika kwa lengo la kuiwezesha jamii kupata tija katika za uzalishaji wa mazao ili kuhakikisha kila kaya inajitosheleza kwa chakula,inaongeza kipato hivyo kupunguza umaskini katika jamii.

Aidha hutekeleza miradi mbalimbali ya ujenzi wa miundo mbinu ya Umwagiliaji,Masoko,Maghala na kusimamia Miradi ya Vikundi vya Uzalishaji wa mazao ya chakula na Biashara na Ujasiriamali.

Katika kipindi cha mwezi januari hadi machi 2017 idara ilitekeleza majukumu yake kwa kutumia fedha kutoka kwa wahisani ili kuendeleza zao la korosho,swisscontact na MIVARF.

Hali ya chakula kwa sasa ni ya wastani,Wananchi wanapata chakula kila siku upungufu wa chakula umejitokeza katika baadhi ya maeneo kutokana na kuchelewa kunyesha mvua za vuli kuliko sababishamazao ya Mahindi na Mapunga wa mlimani kuchelewa kukomaa mpaka sasa.Vile vile mavuno katika msimu wa kilimo 2015/2016 kutofikia lengo kutokana naupungufu wa mvua za vuli na masika,Ingawa wanaendelea kushauriwa kutumia mvua zinazoendelea kunyesha kupanda mazao yanayokomaa kwa muda mfupi,kupanda mazao ya kinga ya njaa kama Mihogo,Viazi Vitamu,Ndizi,Magimbi na Mahindi ya muda mfupi.Wakulima wakifuata ushauri huu upungufu wa unaweza kupungua kwa kiasi kikubwa.

 

SHUGHULI ZINAZOTEKELEZWA NI KAMA IFUATAVYO:

Kuhamasisha Wakulima kuupokea na kuutekeleza mpango wa upandaji mikorosho mipya kwa muda wa miaka 3 kuanzia msimu 2016/2017 hadi 2018/2019 ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Waziri mkuu Mh.Majaliwa Kassimu Majaliwa kwa bodi ya korosho na Mfuko wa WAKFU.

Usambazaji na Umwagiliaji wa miche ya korosho imenufaisha zaidi ya wakulima 1,606 hadi sasa tarafa za Vigoi,Mwaya,Ruaha na Lupiro kama ifuatavyo:

Ugawaji wa miche bado linaendelea kwa baadi ya vijiji

KITENGO CHA USHIRIKA:

Wilaya ya Ulanga ina jumla ya vyama vya Ushirika 66 vilivyosajiliwa kwa mujibu wa sheria ya Ushirika Na.6 ya mwaka 2013.kati ya hivyo 27 ni sinzia.

AMCOS 10 {Hai 6,sinzi/kufa 4}

SACCOS 39{Hai 21,sinzia/kufa 18}

Vyama aina nyingine 15{Hai 10,sinzia/kufa 5}


IDARA IMETATUA CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA KAMA IFUATAVYO:

{a} Kuendelea kuzishawihi Taasisi zisizo za kiserikali kama MIVARF,Swisscontact na VISTA kushiriki katika kutatua matatizo ya Wakulima na kuchangia ujenzi wa miradi ya maendeleo.

{b} Kuendelea kuwaelimisha Wakulima kupanda mazao yanayostahili ukame na yanayokomaa kwa muda mfupi.

{c} idara itaendelea kushirikiana na Serikali kuu kusimamia upatikanaji pembejeo na kuchagua mawakala wenye uwezo wa kusambaza pembejeo hizo kwa Wakulima kwa wakati.

{d} mkandarasi ameshauriwa kusimamia kazi ili kusubiri kina cha maji kipungue.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.