• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

wakazi wa Ulanga wapata soko jipya la kisasa

Imetumwa: July 20th, 2020

Na . Yuster Sengo

Wakazi wa wilaya ya Ulanga  mkoani morogoro  wametakiwa kutumia soko kuu la  Mahenge mjini  lililoanza kutumika 17 july 2020 kwaajili ya kuuza bidhaa zao

Akizungumza wakati akisimamia zoezi la wafanyabiashara kuhamia katika soko hilo  afisa biashara wilaya ya ulanga bi Jasmin Mlyandi amesema kuwa soko hilo jipya limeanza kutumika rasmi na wafanyabiashara wadogowadogo wote wanatakiwa kutumia soko hilo kwa ajili ya kufanya biashara zao

Aidha ameongeza kuwa  kwa wafanyabiashara ambao walikosa maeneo wamepewa maeneo ya muda huku utaratibu mwingine ukiwa unaendelea na wafanyabiashara hao wapo kwenye hayo maeneo waliyotengewa wakiendelea na biashara zao 

‘’Kwa kweli leo soko letu kuu limefunguliwa rasmi na wafanyabiashara wale wadogo wadogo wamefanikiwa  kuhamia katika soko hilo jipya kwaiyo wapo tayari kufanya biashara zao wakiwa mahali salama na pa uhakika’’ alisema bi jasmin.

Lakini pia amewasihi na kuwataka wafanyabiashara wote ambao wamekaidi agizo la serikali kuhamia katika soko hilo jipya kuhamia sokoni hapo mara moja  kwa kuwa ndio sehemu sahihi iliyopangwa na serikali na si pengine

Kwa upande wao wafanya biashara wadogo wadogo ambao wameshahamia katika soko hilo wameipongeza serikali kwa kuwajengea  soko na  kupata sehemu sahihi ya kufanya biashara bila shida yeyote

‘’mimi naipongeza serikali yetu  sana tena  naipa hongera kubwa sana kwa kututengenezea soko zuri la kudumu ambalo tunafanya biashara zetu vizuri siku hizi hatutanyeshewa na mvua wala kupigwa na jua tupo sehemu nzuri kabisa’’ aliongea  mmoja wa wafanyabiashara katika soko hilo

“Tunashukuru halmashauri kwa kuweza kumalizia hili soko na leo hii tumeanza kulitumia rasmi,eneo hili ni zuri na kumechangamka sana na kunafikika kwa urahisi tofauti na kule mwanzo ambapo kama mtu ana gari hawezi kufika hadi eneo la soko na gari yake ila hapa sasa ni pazuri na barabara imechongwa vizuri hivyo kurahisishia usafiri mbali mbali kufika hapa “Ameongeza mfanyabiashara huyo

Katika kila jambo zuri hapakosi changamoto hivyo basi serikali ya halmashauri ya wilaya ya ulanga mkoani morogoro limewataka wafanya biashara wote katika soko hilo jipya kuvumilia changamoto zote ambazo zinajitokeza na kwa kushirikiana kwa pamoja wanaweza zitatua  

 Mwisho

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.