• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

Eneo la Utawala

1.6 Muundo wa Utawala:

Halmashauri ya Ulanga ina Tarafa nne (4) yenye Kata = 21,Hospitali 1,Shule za Sekondari = 21,Zahanati 21,Shule za Msingi = 59 ,Vijiji = 59, Idadi ya Watu = 151,001 ,Vituo vya Afya = 2. 

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Ulanga ambalo ni chombo cha juu cha kutolea maamuzi lina jumla ya Madiwani 21. Kati yao Madiwani 16 ni wa kuchaguliwa kutoka kata 21 za Halmashauri.

Katika mfumo wa Utendaji, Manispaa ya Morogoro ina Idara kumi na tatu na Vitengo sita vinavyowajibika moja kwa moja kwa Mkurugenzi. Idara kumi na tatu za Halmashauri ni:

1) Utawala na Utumishi

2)Fedha na Uongozi

3)Afya

4)Elimu Msingi

5) Elimu Sekondari

6) Mipangomiji na Ardhi

7) Maji

8) Maendeleo na Ustawi wa Jamii

9) Mifugo na Uvuvi

10)Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika

11)Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji

12)Usafi na Mazingira

13)Ujenzi na Zimamoto

Vitengo vitano ni:-

1) Sheria

2) Ukaguzi wa Ndani

3) Ugavi

4) Uchaguzi

5) Ufugaji Nyuki

6) Teknologia,Habari, Mawasiliano na Uhusiano

Ulanga kama chombo cha utawala, kinatawala kwa mtindo wa Kamati. Kuna Kamati kuu tano ambazo ni

i) Kamati ya Fedha na Uongozi

ii) Kamati ya Huduma za Uchumi, Elimu na Afya

iii) Kamati ya Mipangomiji na Mazingira

iv) Kamati ya kudhibiti Ukimwi

v) Kamati ya Maadili.

1.7 Idadi ya Watumishi:

Kwa Mwaka 2010/2011, Halmashauri ina jumla ya watumishi 3123 wa kada mbalimbali.Idara ya Elimu (Msingi na Sekondari) ina watumishi 2425 sawa na asilimia 77.6 ya watumishi wote.

2.0 Maendeleo ya Kisekta

Sekta zote za Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro zinatekeleza majukumu yake ya msingi kwa kuzingatia Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2011 - 2015, Dira ya Maendeleo ya 2025, Mpango wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini Tanzania (MKUKUTA) II na Malengo ya Millenia ili kutoa huduma bora kwa jamii. Maelezo ya kila sekta yameainishwa kama ifuatavyo.

 


RAMANI IKIONYESHA ENEO LA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA


Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.