• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

Maendeleo ya Jamii

  • Idara ya Maendeleo ya Jamii ni Idara mtambuka ambayo imelenga katika kuiwezesha jamii kubaini uwezo wao,matumizi yao na kutumia rasilimali zilizo kwenye maeneo yaoili kujiletea maendeleo.Katika kufanikisha lengo hili,Idara hutumia mbinu za uraghibishi,uwezeshaji,uhamasishaji,utetezi na ushirikishwaji jamii katika mchakato wa kutekeleza shughuli za kuwaletea watu maendeleo endelevu.
  •  
  • SHUGHULI ZINAZOTEKELEZWA;
  • Kuratibu na kusimamia mfuko wa Wanawake kwa njia ya kutoa elimu ya ujasiriamali,mikopo na kufuatilia marejesho kwa vikundi vya wanawake wajasiriamali vilivyokopeshwa kutoka mfuko wa maeneleo ya wanawake{WDF}kwa mwaka 2015/2016 na 2016/2017.
  • KITENGO CHA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI;
  • Kitengo cha mashirika yasiyo ya kiserikali kina jukumu la kuratibu shughuli zote zinazotekelezwa na mashirika yasiyo ya kiserikali katika Wilaya ya Ulanga.Aidha kitengo hiki husajili vikundi vyote vya uzalishaji mali kwa lengo la kuvitambua na kuchangia pato la ndani la Halmashauri.ili kikundi kiweze kusajiliwa na kupatiwa cheti cha usajili hutakiwa kuwasilisha vielelezo muhimu kama vile;barua ya maombi ya usajili,utambulisho kutoka kwa Mwenyekiti/Mtendaji wa Kijiji/Kata,muhtasari wenye azimio la kusajili kikundi,katiba iliyopitiwa,kusainiwa na kugongwa muhuri na Hakimu/Mwanasheria,picha za viongozi;gharama za usajili ambayo ni Tsh.40,000/=.
  • KITENGO CHA UKIMWI;
  •  
  • Kitengo kina jukumu la mapambano dhidi ya UKIMWI kwa kuratibu shughuli za mapambano dhidi ya UKIMWI katika sekta mbalimbali ndani ya Wilaya ili kuweza kutokomeza janga hili.Pia kitengo kimekua kikitoa elimu ya kujikinga na UKIMWI kwa makundi mbalimbali na jamii kwa ujumla,kutoa huduma mbalimbali za kupunguza makali yatokanayo na UKIMWI kwa kutoa misaada kwa WAVIU na watoto waishio katika Mazingira hatarishi{WWKMH}pamoja na ugawaji wa kondom.
  • Pia imetoa elimu ya kujikinga na Virusi vya UKIMWI na magonjwa ya ngono kwa makundi yaliyo katika hatari hatari ya kupata maambukizi ya VVU ambao ni wahudumu wa mabaa na nyumba za kulala wageni kwa tarafa ya Malinyi,Vigoi,Mtimbira na Lupiro.
  • UUNDAJI WA CLUB ZA UKIMWI;
  • Jumla ya club 9 za shule za sekondari zimeundwa na kupatiwa mafunzo ya kujitambua na kujilinda na magonjwa ya ngono na UKIMWI.Shule hizo ni Malinyi,Ngoheranga,Itete,Biro pamoja na Sofi kwa Wilaya ya Malinyi na kwa Wilaya ya Ulanga ni Iragua,Kichangani,Kwiro pamoja na Ulanga.4
  • Shule 9 ambazo zimeunda club za UKIMWI zimepatiwa vifaa vya michezo ambavyo ni mpira wa miguu na mikono.Hayo yote ni katika kupambana na hisia kali za kufanya ngono na badala yake kuhamasishwa kufanya mazoezi.
  • Vyakula vyenye thamani ya Tsh.4,000,000 vimenunuliwa na kugawanywa katika vituo 2 vya kulelea watoto Yatima vya Ukwama kilichopo Wilaya ya Ulanga na St.Joseph{Itete}kilichopo wilaya ya Malinyi.
  • Ni wajibu wa kila mwananchi,Serilakali na Wadau mbalimbali kuweka kipaumbele zaidi katika mapambano dhidi ya UKIMWI ili kuweza kupunguza na hatimaye kutokomeza janga hili.
  • Ulanga bila maambukizi mapya,unyanyapaa na vifo vitokanavyo na UKIMWI inawezekana,Tutimize wajibu wetu.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kazini July 11, 2022
  • Tangazo la Zabuni January 19, 2023
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga March 13, 2023
  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Baraza la madiwani wilayani Ulanga limepitisha makisio ya mpango wa bajeti ya jumla ya shilingi 35,218,202,000.00

    February 20, 2023
  • Baraza la madiwani wilayani Ulanga limepitisha makisio ya mpango wa bajeti ya jumla ya shilingi 35,218,202,000.00

    February 20, 2023
  • Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Ulanga afurahishwa na Maonesho ya nane nane kanda ya Mashariki

    August 08, 2022
  • Ulanga yawa Kivutio Kwa Kutengeneza Mkaa wa Makaratasi

    August 05, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

Ziara ya Waziri wa Nishati Mh.Merdad Kalemani katika kijiji cha Epanko wilayani Ulanga
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.