• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

Ijue Radio Ulanga

ULANGA FM 91.5 MHz

1.0 UTANGULIZI

Redio Ulanga ni redio ya jamii iliyoanzishwa Desemba 2010 na Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga. Redio hii  ilianza kurusha matangazo rasmi mnamo Desemba mwaka 2011. Redio Ulanga Fm inasikilizwa katika umbali wa Kilomita 24,560 za wilaya na inapatikana katika mawimbi ya 91.5

Redio Ulanga ilipewa Leseni ya kurusha matangazo na mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Novemba 2011.

Katika Mkoa wa Morogoro, Redio Ulanga ni Redio ya pili kuanzishwa na Halmashauri za mkoa wa Morogoro. Lengo la  uanzishaji wa Redio Ulanga ni kuchochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi ikizingatiwa hakuna redio nyingine inayosikika inayochangiwa na jiografia ambayo ni mwinuko wa mita 1500 usawa kutoka usawa wabahari.

Redio Ulanga inasikika umbali wa Kilomita 24,560 za Wilaya ya Ulanga, pia inasikika katika maeneo mengine nje ya Wilaya ya Ulanga kama vile Wilaya za Kilosa, Liwale, Kilombero, Namtumbo, Chunya, Kyera na Kilolo. 


2.0 MTAZAMO

Halmashauri ya Wilaya imejiweka yenyewe katika kutoa huduma bora kwa watu wake kwa kuwawezesha katika kuongeza kipato, kupata makazi mazuri na kuwa na maendeleo endelevu.


2.3 KUANZISHWA KWA REDIO ULANGA FM

Ulanga Fm Redio ilianzishwa kwa dhumuni kubwa la;

  • Kuleta chachu ya maendeleo kwa watu kuhusu mambo mbalimbali kamaafya,kilimo na mazingira.

  • Kuburudisha wananchi

  • Kuihabarisha jamii na juu ya habari na matukio mbalimbali ya kilasiku ya kitaifa na kimataifa

  • Kuelimisha jamii ya wakazi na wilaya za jirani


MWISHO

Kwa kipindi cha miaka mitano Redio Ulanga imeweza kujipatia wasikilizaji wengi kutokana na vipindi vyake kama vinavyooneshwa kwenye ratiba

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.