• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

Taarifa ya Ulanga

SURA NA TASWIRA YA HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA

 Utangulizi 

Halmashauri ya Ulanga ni mojawapo ya Halmashauri 9 za Mkoa wa Morogoro, ambazo ni Ulanga,Mvomero, Manispaa Morogoro, Morogoro,Gairo,Kilosa, Kilombero,Mji Ifakara na Malinyi.

Wakazi wa Halmashauri ya Ulanga ni mchanganyiko wa makabila mbalimbali. Kabila ambalo ni wenyeji wa Halmashauri hii ni Wapogoro. Kasi ya kupanuka kwa Halmashauri ya Ulanga imeongezeka kutokana na fursa mbalimbali zilizopo kijiografia, kiuchumi na kimazingira, jitihada zinafanyika kupitia Halmashauri na Wadau mbalimbali kuendeleza wilaya ya Ulanga katika nyanja mbalimbali ili kuleta mabadiliko ndani ya wilaya.

1.1 Mahali:

Wilaya ya Ulanga iko umbali wa Kilometa 512 kutoka Jiji la Dar es Salaam. Ipo kati ya Latitudo 4.5 Kusini na Longitudo 37.4 Mashariki. Ipo kiasi cha futi 1,600 kutoka usawa wa bahari.Ulanga inapakana na milima ya Uluguru,pia imepakana na mkoa wa Iringa,imepakana na Songea,pia imepakana na wilaya ya Malinyi na Kilombero.

1.2 Eneo:

Halmashauri ya Ulanga ina eneo la Kilometa za Mraba 14,423 sehemu kubwa ni mapori ya Hifadhi na Misitu. Sehemu kubwa ni Hifadhi ya Selous katika upande wa kusini na Mashariki na kuna Hifadhi ya Kilombero Kusini (Iluma) kwa upande wa kaskazini na Mashariki.

1.3 Hali ya Hewa

Nyanda za juu Kusini Magharibi: (Mikoa ya Mbeya, Iringa, Njombe na kusini mwa Morogoro):

Mvua zinatarajiwa kuanza wiki ya nne ya mwezi Novemba hadi January na zinatarajiwa kuwa na mvua nyingi hadi juu ya wastani katika maeneo mengi. Hata hivyo kusini mwa mkoa wa Njombe na baadhi ya maeneo ya kusini mwa mkoa wa Morogoro (Mahenge) mvua za wastani hadi chini ya wastani zinatarajiwa.

Wastani wa joto ni nyuzi 180C hadi 260C wakati wa baridi (Julai– Novemb) Mvua za Vuli huanza mwezi wa Octoba hadi Februari, Mvua za Masika kuanzia mwezi marchi hadi Mei. Mvua hizo hunyesha kwa wastani wa kati ya milimita 800 hadi 1,600.

1.4 Idadi ya Watu

Wilaya ya Ulanga imekuwa ikipanuka kwa kasi kutokana na ongezeko la watu.Kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012 Halmashauri ya wilaya ya Ulanga inawakazi wapatao 151,001 (Wanaume 75,348 na Wanawake 75,653)

Sababu inayochangia kasi kubwa ya ongezeko la idadi ya watu ni pamoja na: Kuzaliana na kuhamia. Sababu zinazochangia kasi kubwa ya kuhamia ni pamoja na :

Ongezeko la Uwekezaji wa Uchimbaji wa Mdini

Ongezeko la sehemu za biashara

Ongezeko la shughuli za kilimo na ufugaji

Uboreshaji wa miundombinu

Kupanuka kwa huduma za kijamii – mfano: shule, vituo vya afya, sehemu za starehe.


1.5 Shughuli za Kiuchumi na Ajira

Shughuli kuu zinazofanywa na wakazi waUlanga ni pamoja na:

Biashara – Jumla na reja reja

Kilimo na Mifugo –

Shughuli za ofisini

Ajira ndogo ndogo

Uchimbaji wa madini

Kilimo cha Mazao yanayolimwa nje kidogo ya Mji na katika Wilaya jirani Kilombero ni pamoja na, mpunga, mahindi, ndizi, mihogo,Viazi Vitamu, Matunda na mboga za majani.











Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kazini July 11, 2022
  • Tangazo la Zabuni January 19, 2023
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga March 13, 2023
  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Baraza la madiwani wilayani Ulanga limepitisha makisio ya mpango wa bajeti ya jumla ya shilingi 35,218,202,000.00

    February 20, 2023
  • Baraza la madiwani wilayani Ulanga limepitisha makisio ya mpango wa bajeti ya jumla ya shilingi 35,218,202,000.00

    February 20, 2023
  • Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Ulanga afurahishwa na Maonesho ya nane nane kanda ya Mashariki

    August 08, 2022
  • Ulanga yawa Kivutio Kwa Kutengeneza Mkaa wa Makaratasi

    August 05, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

Ziara ya Waziri wa Nishati Mh.Merdad Kalemani katika kijiji cha Epanko wilayani Ulanga
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.