• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

ziara ya miradi ya maendeleo

Imetumwa: November 6th, 2018

Na Yuster Sengo

Wananchi wilayani Ulanga mkoani Morogoro wametakiwa kuwa wa zalendo katika majitoleo kwenye miradi mbali mbali ya fedha zinazotolewa na serikali ili miradi hiyo iweze kumalizika kwa wakati

Akizungumza  wakati wa ziara ya kamati ya fedha ,uchumi na mipango,mwenyekiti wa kamati hiyo ambaye pia ni mwenyekiti wa  halmashauri ya wilaya ya Ulanga Mh.Furaha Fadhili LIlongeli amesema kuwa ni vizuri wananchi washirikishwe kwenye miradi ya maendeleo ili kusaidia kumaliza miradi hiyo kwa wakati na kwa fedha zilizopangwa

“wananchi wakishirikishwa kwenye miradi ya maendeleo itasaidia kupunguza bajeti,maana yake zile pesa kidogo zilizotufikia zikitumika vizuri pamoja na nguvu kazi miradi hii itaisha kwa wakati na kwa asilimia zote bila kuomba kuongezewa pesa nyingine” amesema Lilongeli

Aidha ameongeza kuwa kuna baadhi ya kata wananchi wanajitolea nguvu kazi na sehemu nyingine hawajitolei kabisa hali ambayo inasikitisha na pia kuvunja moyo kata zinazo jitolea nguvu kazi

“kuna maeneo mengine watu wanatoka jasho sana kwa kujitolea,lakini maeneo mengine watu hawafanyi chochote,tunasikitishwa sana kwa nguvu za wananchi kutotumika katika maeneo hayo,hivyo kamati hii ya fedha tunaomba kusisitiza kwanmba nguvu za wananchi zitumike,tusitumie tu pesa ya serikali bila kushirikisha nguvu kazi katika aeneo yetu” amesema Lilongeli

Hata hivyo Lilongeli ameongeza kuwa kwa sehemu ambazo vifaa kama cement vimepelekwa na havijatumika basi vifaa hivyo vitahamishiwa sehemu nyingine kwenye uhitaji

“katika yale maeneo tumepeleka cement hazijatumika,tunaweka maazimio hapa na tutaenda kujadili kwenye kamati .cement zile tutazihamisha  kuliko kuganda pale na sisi tukapata hoja ya ukaguzi hilo jambo halikubaliki,kwahiyo kama mmeshindwa kutumia hizo cement tutazihamisha na kuzipeleka kwa wahitaji” amesema Lilongeli

Hata hivyo amewataka viongozi wa kata na vijiji kufanya uhamasishaji wa kutosha wa nguvu kazi kwani wananchi wapo chini yao na wakihamasika zaidi wanaweza kufanya kazi na kumaliza miradi kwa wakati.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.