• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

Zeozi la Utoaji Hati Miliki za Kimila

Imetumwa: January 25th, 2018

Ulanga 

na Fatuma Mtemangani

Zoezi la utoaji wa hati miliki za kimila kwa wilaya ya ulanga mkoani morogoro linaendela katika vijiji mbalambali ikiwemo kijiji cha mzelezi na kichangani.

Akizungumzia uotaji wa hati hizo afisa ardhi wilaya ya ulanga bwana valenc huruma amesema kua mpaka sasa mashamba takribani elfu kumi na moja na mia mbili yameshapimwa kwa maandalizi ya hati na utoaji wa hati hizo kwa wananchi.

Bwana huruma ameongeza kua hati hizo zinasaidia kuondoa migogoro ya ardhi,kuongeza ulinzi wa miliki za mashamba yao na kutumika kama dhamana kwenye vyombo vya fedha yaani kupata mikopo bila kizuizi chochote.

Hata hivyo zoezi hilo linaendelea katika tarafa ya mwaya katika kata ya lukande ambapo hati mia tisa tisini na tisa zimeshaandaliwa na hati mia tatu kwa ajili ya kijiji cha gombe pamoja na kijiji cha chikwera ambapo wananchi watasaini hati hizo na kukabidhiwa na kukabidhiwa rasmi.

Katika dhana nzima wa umilikshaji ardhi kwa sasa upimaji wa mashamba unaendela katika kjiji cha ikungua pamoja na idunda hivyo wananchi wamejiandaa na zoezi hilo huku kijiji cha nakafulu kuna zoezi la kupanga makazi yao kwa kutenganisha maeneo ikiwemo eneo la makazi,eneo la mashamba,eneo la misitu pamoja na malisho kwa vijiji ambavyo vina fursa ya wafugaji. 

Aidha amewaomba wananchi wa vijiji ambavyo zoezi la upimaji linaendelea kutoingiza mabo ya siasa katika zoezi hilo na badala yake watoe ushirikiano kwa wataalamu walioko kwenye vijiji husika kwa kua mradi huu hauna lengo la kugawa ardhi bali kuhakikisha kuwa kipande cha ardhi ulichokua nacho kina rasimishwa ili mwananchi aweze kupata hati miliki ya kumsaidia ili kwa kutimiza ndoto zake.

Wilaya ya ulanga unatekeleza mradi wa umilikishaji ardhi mradi huu unafanya kazi tatu ikiwemo kazi ya kupanga matumizi bora ya adhi,kupima mashamba ya wananchi pamoja na kumilikisha ardhi kwa kutoa hati miliki kwa mashamba yaliyopimwa.   

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.