• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

Zaidi ya shilingi milioni tisa zapatikana katika Harambee Wilayani Ulanga

Imetumwa: January 9th, 2019

ULANGA

NA Fatuma Mtemangani,

Zaidi ya shilingi milioni tisa zimepatikana katika harambee iliyofanyika tarehe 7/1/2019 kwenye ukumbi wa Pauline uliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa ishirini na nne kwa wilaya ya Ulanga.

Harambee hiyo ilizinduliwa na mkuu wa mkoa wa Morogoro Dk.Kebwe Steven Kebwe kwa kuchangia shilingi milioni moja na laki tano na Mwenyekiti wa Halmasahuri mh.Furaha Lilongeli kwa kuchangia shilingi laki tano ili watoto waliofaulu kuingia kidato cha kwanza mwaka 2019 waende shu[e.

Katika harambee hiyo mkuu wa mkoa aliambatana na katibu tawala wa mkoa wa Morogoro ndugu Clifford Tandali hivyo alimpongeza mkuu wa wilaya ya Ulanga mh.Ngollo Malenya kwa ubunifu mkubwa aliouonyesha katika kufanikisha agizo la mkoa kuhusu ujenzi wa vyumba 24 vya madarasa.

“ Nikupongeze sana mkuu wa wilaya kwa ubunifu ulioufanya na kutekeleza maagizo ya mkoa kuhusu ujenzi wa vyumba vya madarasa na hiyo isiwe mwisho wa kuchangia naomba iwe endelevu,lakini pia wana Ulanga msichoke kuchangia ujenzi huo kwani watoto wetu wanafanya vizuri sana katika masomo yao kwa shule za msingi na sekondari katika mkoa wa Morogoro hivyo kama mzazi unapaswa kuwa mstari wa mbele kujitoa kwenye michango na hata nguvu kazi.”

Hata hivyo mkuu wa wilaya ya Ulanga Mh.Ngollo Malenya alimshukuru mkuu wa mkoa dk.Kebwe Steven Kebwe,mbunge wa jimbo la Ulanga mh.Goodluck Mlinga,waheshimiwa Madiwani,viongozi wote wa Halmashauri ya wilaya ya Ulanga,viongozi wa Dini,viongozi wa vyama vya siasa pamoja na wadau wote wa Maendeleokuhudhuria harambee hiyo na kuchangia pesa kwa ajili ya ujenzi huo.

Wilaya ya Ulanga inakabiliwa na upungufu wa vyumba vya madarasa ishirini na nne ambavyo mpaka kufikia tarehe 28/1/2019 vinatakiwa kukamilika hivyo mkuu wa wilaya aliamua kufanya harambee hiyo ili kusaidia wanafunzi waliofaulu kuingia kidato cha kwanza kuendelea na masomo yao.

Mkuu wa wilaya alizindua harambee iliyoshirikisha wadau mbalimbali wa Maendeleo ndani na nje ya Ulanga na kufanikisha kukusanya michango vifaa vyenye thamni ya shilingi milioni tisini na tano laki tatu sitini na sita elfu[95,366,000] hivyo amewaomba wananchi wazidi kuchangia ili kufanikisha ujenzi huo.

Harambee hiyo imebeba kauili mbiu isemayo“ Umoja wetu ndiyo nguvu yetu Ulanga madarasa kwanza changia buku plus mtoto aende shule.” 

Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga ina jumla ya Shule za Msingi 61 zikiwemo 60 za Serikali na moja Binafsi ambazo zimefanya vizuri katika mtihani wa darasa la saba na kupata nafasi ya kwanza kimkoa na kitaifa nafasi ya kumi na sita darsa na kwa darasa la nne kimkoa imeshika nafasi ya kwanza na kitaifa imeshika nafasi ya tano kwa mwaka 2018 hali iliyopelekea upungufu wa vyumba vya madarasa.

Mwisho.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.