• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

Watumishi wa Wilaya ya Ulanga watakiwa kuachana na Itikadi za kisiasa na badala yake wafanye kazi

Imetumwa: July 12th, 2018

 

ULANGA

Na

Fatuma Mtemangani

 

Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga Mkoani Morogoro kupitia kikao cha Fedha,Uongozi na Mipango kimewataka watumishi wa serikali wakiwemo maafisa watendaji wa Kata,Vijiji,Tarafa na Wilaya kuacha ufisadi na kutoleta mambo ya itikadi za kisiasa na badala yake kuwa na maadili bora,na nidhamu na kujipanga kwa mwaka mpya wa serikali ili kutoa huduma nzuri kwa jamii.

Hayo yamebainishwa na mkuu wa mkoa wa Morogoro dk.Kebwe Steven Kebwe wakati alipokutana na wakuu wa Idara na watumishi wote wa Halmashauri ya wilaya ya Ulanga ikiwemo waheshimiwa madiwani katika kikao cha baraza la madiwani kilicholenga maagizo yaliyotolewa na kamati ya bunge ya hesabu za serikali za mitaa yaliyotolewa wakati wa kujadili taarifa ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hersabu za serikali{CAG}.

Dk. Kebwe pia amewataka watumishi wote wa Halmashauri ya wilaya ya Ulanga kuacha kufanya kazi kwa mazoea na badala yake wawajibike na,kujituma kwa bidii ili kuleta maendeleo kwa wana Ulanga.

“kama wewe ni kiongozi na unategemewa na serikali kwanini ufanye kazi kwa mazoea ni lazima uwajibike kwa ajili ya maendeleo ya wana ulanga na taifa kwa ujumla,wapo watu wanakutegemea wewe kiuchumi sasa mistake tuuanze mwaka huu vibaya nasema fanyeni kazi”.

Pia amewataka Idara ya Kilimo kutoa elimu kwa vijana wapende kilimo,na kuwaingizia pesa mfuko wa wnanwake kwa wakati kwa ajili ya kujikwamua kiuchumi ili kuunga mkono kauli ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mh.dk.John Pombe Magufuli ya Tanzania ya viwanda kwa kutofanya hivyo ni kurudisha nyuma maendeleo kwa wananchi.

Aidha amewataka wanasheria wa serikali wa Halmashauri ya wilaya ya Ulanga kwa kushirikiana na viongozi husika kusimamia kesi za serikali mahakamani bila kufanya hujuma na kuacha propaganda kwa kufanya hivyo ni kutoitendea haki serikali.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.