• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

Wanawake wilayani Ulanga wapatiwa mafunzo juu ya haki miliki ya Adhi

Imetumwa: June 8th, 2019

ULANGA

 

NA

 

Fatuma Mtemangani

Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania Tawla wamekuwa wakiwajengea uwezo Wanawake mara kwa mara kwa kuwapatia mafunzo ili waweze kujua haki ya kupata ardhi,kutumia ardhi,kumilik ardhii, na kuuza ardhi.

Kauli hiyo imetolewa na mmoja wa wanasheria wanawake bi maria mruma wakati akizunguza na viongozi wa jukwaa la wanawake kutoka kata mbalimbali walioudhuria katika mafunzo ya kuwajengea uwezo akina mama hao katika ukumbi wa Udeko kwa muda wa siku mbili tarehe 7/6/2019 hadi tarehe 8/6/2019.

Hapo awali wanawake walikuwa hawana uelewa wa kutosha juu ya umiliki wa ardhi na badala yake wanaume ndiyo walikua wakiandika majina yao wanapokwenda kulipia ardhi, hivyo wanatakiwa kufahamu haki zao hasa za umiliki wa aridhi na mirathi.

“Wanawake wezangu mna haki ya kupata ardhi,kutumia ardhi,kumilik ardhii, na kuuza ardhi lakini piamuwe makini na kujithibitishia pale mwanandoa wako amechukua mkopo kwenye taasisi ya kifedha wakati mmeweka rehani,na pia mnatakiwa kumtafuta mwanasheria wa chama cha wanasheria wanawake [TAWLA] pale unapoona mali uliyowekwa rehani inataka kuuzwa ili uweze kupata msaada kwa wakati.Alisema Maria Mruma

Wanawake wamekuwa wakifuchwa siri za wanandoa wao hali ambayo inapelekea wanandoa hao kukosa haki zao hasa kwenye mali kama vile nyumba na mashamba.

Kwa upande wake mwenyekiti wa jukwaa la wanawake mkoa wa morogoro bi amina seifu mgerwa amesema kua elimu iliyotolewa na Tawla itawasaidia wanawake kujua namna ya kupata haki zao katika suala zima la kumiliki aridhi,sheria ya ndoa na haki nyingine ambazo hawazifahamu ili kuondoa dhana ya kujiona wanawake wananyanyasika.

Aidha baadhi ya washiriki katika mafunzo hayo bi Habiba Njaa pamoja na bi Hawa Mgaichuma wamewashukuru Tawla kwa mafunzo wanayotoa na kuwaomba kuendelea kupeleka elimu hiyo katika vijiji vyote wilayani ulanga ili kuwasaidia wanawake ambao hajatambua haki zao waweze kuzielewa kwani itapunguza malalamiko yanayotokana na uelewa mdogo wa sheria miongoni mwao.

Kwa wilaya ya Ulanga mradi wa urasimishaji Ardhi umelenga kufikia vijiji 52 kwa wilaya ya Ulanga hivyo mpaka sasa tayari mradi umefanya kazi katika vijiji 40 bado vijiji 12 hii ni kutokana na changamoto ya mvua zilizokuwa zinaendelea kunyesha wilayani Ulanga kuharibu miundombinu ya barabara na mashamba kujaa maji hali iliyosababisha kusimama kwa zoezi la upimaji wa mashamba katika vijiji vilivyosalia.

Baadhi ya wananchi wameelezea uhalisia wa mradi huo ulivyowasaidia wanawake kuwa na hati miliki za kimila kwa kuwainua wanawake kiuchumi kupitia Ardhi zao wenyewe kwenye ndoa zao na hata famila ya wazazi wake.

Mradi wa urasimishaji wa Ardhi,Land Tenure Support Programme [LTSP] kwa wilaya ya Ulanga unatarajia kukamilika tarehe 30/6/2019 hivyo zoezi la upumaji litaendelea kwa vijiji 12 vilivyobaki mpaka mradi utakpokamilika kwa wakati

Mwisho.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.