• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

wananchi wilaya ya Ulanga watakiwa kuendelea kuchukua tahadhari juu ya ugonjwa wa covid 19

Imetumwa: August 6th, 2021

Yuster Sengo                                                                                                                                          mwenge

Wananchi wilayani ulanga mkoani morogoro wametakiwa kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa  hatari wa covid 19 kwa kuepuka misongamano ,kuvaa barakoa na kunawa mara kwa mara kwa kutumia vitakasa mikono.

Haya yamesemwa na kiongozi wa mbio za mwenge  wa uhuru maalumu  luten JOSEPHINE MWAMPASHI wakati akitoa ujumbe wa mwenge katika kijiji cha kivukoni wilayani ulanga mara baada ya kukabidhiwa kutoka wilaya ya kilosa

 Lutein mwampashi amesema kuwa kauli mbiu ya mwenge wa uhuru mwaka huu TEHAMA NI MSINGI WA WA TAIFA ENDELEVU ITUMIE KWA USAHII NA UAJIBIKAJI.

Sambamba na hayo kiongozi wa mbio za mwenge  wa uhuru amesema kuwa  ‘‘tehama ni nyenzo muhimu na ya kisasa katika kuchochea  maendeleo , teknologia hii inayotumia njia mbalimbali kama vile kubeba, kusafirisha,kuchakata, pamoja na kulinda taarifa mbalimbali takwimu, sauti pamoja na picha kwa kutumia njia za mawasiliano kama vile simu za mkononi, compyuta ,televisheni, redio na mashine mbalimbali zinazotumika kutuma au kupokea taarifa mbalimbali za kifedha``

Aidha luten mwampashi pia ameelezea  umuhimu wa kutumia teknogia kwa watanzania  kwa kutokana na uwepo wa teknologia ya habari na mawasiliano umerahisisha  mfumo mzima wa elimu kwa wanafunzi kujifunza kwa kutumia picha na sauti na kuongeza weledi  na ufanisi katika kujifunza kwao.

Hata hivyo mwenge mwenge wa uhuru umezindua miradi sita ikiwemo mradi wa vijana nguvu kazi seremala mbasa, mradi wa maji igumbiro, mradi wa shule ya msingi mavimba B, mradi wa kitalo cha  miche ya mitiki mavimba, mradi wa kuongeza thamani ya zao la mpunga kijiji cha mbuyuni, mradi wa  zahanati kijiji cha minepa.

Kwa upande wake mkuu wa wilaya ya ulanga mh. Ngolo Malenya amesema kuwa kazi ya  serekali ni kutekeleza irani ya chama na kusogeza huduma kwa wananchi, hivyo amemshukuru kiongozi wa mbio za mwenge kwa kukagua na kuzindua miradi mbalimbali katika wilaya hiyo.

Pia luten mwampashi ametoa wito kwa halmashauri kuweka pesa kwenye akaunti za kijiji  kwa ile miradi inayotekelezwa kwenye ngazi za kijiji    ili wazisimamie wenyewe kwani wana viongozi ambao wanaweza kusaidiana katika kukamilisha miradi yao ya kimaendeleo.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.