• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

Wananchi watakiwa kushiriki katika maendeleo

Imetumwa: September 4th, 2018

Na Ester Mwita 

Wananchi wameombwa kujitolea  katika  kutekeleza wa miradi  kwa ushirikiano na serikali  ili  iweze  kukamilika  kwa wakati na kutoa huduma kwa  haraka

Kauli hiyo ilitolewa na mchumi kutoka idara ya mipango wa halmashauri ya wilaya ya ulanga bw. deogratius  lihengelimo  wakati akizungumza na radio ulanga fm wakati akizungumzia utekelezaji wa miradi mbalimbali ndani ya halmashauri

Alisema miradi inakosa ushirikiano kutoka kwa wananchi inatumia mda mrefu kukamilika na halimashauri inatumia gharama kubwa katika kuikamilisha

”wananchi wanaposhiriki katika utekelezaji wa miradi mbalimbali mbali kazi inakuwa ni rahisi na inakamilika kwa mda uliopangwa”alisema lihengelimo

Alise ma katika kutekeleza miradi hiyo halmashauri  imetenga zaidi ya shiling milioni miatatu kwa  ajili ya ukarabati wa visima 4  na uchimbaji wa visima 80 vya kati vijiji 20 ikiwemo mawasiliano na kijiji cha mwaya .

“Uchimbaji wa visima80 vya kati katika vijiji 20 vinajumuisha vijiji vya mponera,mawasiliano ,ikungua,mbuyuni,na chikuti wakati ukarabati wa mradi wa maji wa mwamchili unajumuisha vjiji vya ruaha ,mzelezi,chirombola ,na mwaya” alisema

Pia itatekeleza ukarabati wa mradi  maji wa mwamchili utakaojumhisha vijiji ya ruaha na mzelezi ambao ukikamilika tatizo la maji litapingua kwa kiasi kikubwa

Aidha kwa mwaka wa  fedha uliokamilika  wa  mwaka 2017/2018 wanaendelea na ukamilishaji wa uchimbaji wa visima 27 na tayari visima 24 vimechimbwa na ufungaji wa pampu unaendelea katika uchimbaji huo visima vitatu vimekosa maji  katika vijiji  vya igumbilo,mavimba,milola,ikungu,na luhombelo mradi ulighalimu milioni mia nane na tatu lakimoja sabini na sita elfu na sitini na nne 803,176,064.

Aidha alisema wanaendelea na ukarabati wa miundombinu ya maji mahenge mjini kwa usimamizi wa moruwa  mabomba mia 6000 yamelazwa na dira 450 zimepokelewa na kuanza kufungwa kwa wateja  .

“Tumetandaza mambomba mita 6000 na dira mianne hamsini  450 tayari zimepokelewa na kufungwa kwa wateja ulighalimu milioni mia natatu lakitisa na tisa elfu mia tisa sabini nne 103,909,974 “ alisema rwengelimo

Katika sekta ya afya kwa mwaka wa fedha 2018/2019 halimashauri imetenga milioni ishirini kwa ajili ya ukarabati wa wodi ya wanaume katika hosipitali ya  ulanga iliyopo  mjini mahenge

“Tumenga shilingi milion  ishirini 20,000,000. kwa ajili ya ukarabati wa wodi ya wanaume katika hosipitali ya wilaya “

Na kwa mwaka wa fedha uliomalizika halmashauri inaendelea kukamilisha ujenzi na ukarabati wa  kituocha afya cha lupiro thearter,labour,nyumba ya mganga,mortuary katika kata ya lupiro ulioghalimu  shiling milion mia nne 400,000,000.

Tunajenga wodi ya akina mama  katika hospitali ya wilaya ulioghalimu milionio hamsini  50,000,000 na  ujenzi wa jengo la kujisubilia akina mama katiak kituo cha afya cha mwaya ulioghalimu milioni  thelathini na sita laki tisa na sitina na nane elfu 36,968,000 alisema liengelimo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.