• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

wakazi wa epanko watakiwa kutokusikiliza maneno ya uzushi kuhusu mradi wa kinywe

Imetumwa: April 9th, 2019

Na Yuster Sengo

Wakazi wa kitongoji cha epanko ,wametakiwa kuacha kusikiliza maneno ya kuzusha kuhusu mradi wa uchimbaji madini ya kinywe unaotarajiwa kuanza kutekelezwa katika kijiji hicho cha epanko

Akizungumza katika kikao cha kumi cha kikosi kazi cha mradi wa uchimbaji madini ya kinywe ,katibu tawala msaidizi anayeshughulika na ardhi na miundombinu ofisi ya mkuu wa mkoa,Bw.Lucas Mwaisaka amesema kuwa mradi huo ni wa uhakika na hivi karibuni wananchi wataanza kulipwa fidia

“msisikilize watu wanaozusha kuwa mradi huu ni wa kitapeli,mradi huu ni wa kweli na wa uhakika na ndiyo maana hata ofisi ya mkuu wa mkoa wa Morogoro imenituma mimi kuja hapa kwaajili ya kuhudhuria kikao hiki ambacho ni muhimu sana “amesema Mwaikasa.

Aidha ameongeza kuwa taarifa za kikao kazi hiki zinafika hadi mkoani na katika wizaraya madini ili kufata utaratibu woteunaotakiwa

Naye msemaji wa Meneja mahusiano ya jamii wa kampuni ya Tanzagraphie Bw.Benard Mihayo ameema kuwa kukaa kimya kwa muda mrefu kwa kampuni hiyo ni kutokana na kupitiwa kwa mchakato mpana na kufata taratibu zote zinazotakiwa ili kuweza kutekelea mradhi huo kwa umakini

Aidha ameongeza kuwa suala la mwenyekiti wa kitongoji hicho kurudisha nyuma juhudi za mradi huo unafahmika hadi kwa mkuu wa mkoa hivyo amewatoa wasiwasi wakazi wa epanko kuhusu suala hilo

“suala hili la mwnyekiti linafahamika hadi mkoani,kwahiyo niwatoe wasiwasi suala hili litashughulikiwa vizuri na serikali na mradi huu utasonga mbele”

“nawaomba mbadili fikra kwa kupandikizwa na watatu wachache ambao hata hawapo kwenye eneo la mradi”ameongeza Mihayo

Kwa upande wa Bw. Justine Bundu aliyekua akimuwakilisha mwenyekiti wa kikao hicho amesema kuwa ,ni vyema wakazi wote wa epanko wakakubaliana na mradi huu kwani utaleta faida kwa mtu mmoja mmoja na halmashauri kwa ujumla

“kampuni hii itatuletea faida kubwa sana kwani kwa upande wa halmashauri mrahaba utakaokuwa unakusanya kwa mwaka utakuwa n mara mbili ya ule unaokusanywa kwasas”amesema Bundu

Mradi huu unatarajiwa kuwa wa kipindi cha miaka 23 ambapo utaleta faida mbali mbali kwa wakazi wa epankona wilaya ya ulanga kwa ujumla

Ameongeza kuwa ,kampuni isingependa wakazi wa epanko wafanyiwe tathmini kwa lazima hivyo amewataka watu hao kuwasawishi wenzao kufanya tathini kwa hiari yao

“kampuni inatamani kila mtu afanye tathmini kwa hiari yake ,lakini kama kuna baadhi ya watu wanagomea hilo basi itafika siku itabidi tathmini itafanyika kwa lazima “amesema Mihayo

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.