• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

Viongozi wa UWT wilaya ya Ulanga watakiwa kulinda uhai wa chama cha Mapinduzi{ccm}

Imetumwa: July 12th, 2018

ULANGA

 

Na

Fatuma Mtemangani

Mbunge wa viti maalum Mkoa wa Morogoro kupitia Umoja wa Wanawake Tanzania{UWT} Bi Christina Ishengoma amewataka viongozi na wajumbe wa UWT Wilaya ya Ulanga kulinda uhai wa Chama cha Mapinduzi{CCM}kwa kulipa ada,kuongeza wanachama wapya wenye mapenzi mema na chama.

Bi Ishengoma ameyazungumza hayo hivi karibuni katika baraza la Umoja wa Wanawake Tanzania Wilaya ya Ulanga lililofanyika kwenye ukumbi wa CCM Wilaya amesema kua viongozi wanatakiwa kuitisha vikao vya kisheria na vya dharura ili kukijenga chama na kuandika mihutasari kwa kumkabidhi katibu wa ccm wilaya na taarifa hizo ziende kwa wakati na zenye ukweli.

Hata hivyo ameongeza kua serikali kwa sasa inatekeleza ilani ya Chama cha Mapinduzi katika ahadi zake kwa wananchi ikiwemo miundo mbinu ya barabara,afya pamoja na elimu bure kwa watanzania hivyo amewataka wananchi kutoa ushirikiano ili kuunga mkono mh.raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania mh.dk.john pombe magufuli.

Aidha amewataka Wanawake wa Wilaya ya Ulanga kulima mazao ya biashara kama vile Pamba,Korosho, na Kahawa na waondoe hofu juu ya upatikanaji wa soko kwa mazao wanayolima serikali imefanya jitihada kubwa kuwatafutia masoko na pia kuongeza viwanda kwa ajili ya wakulima.

“Wakati nikiwa Dodoma ambapo ile bajeti kuu ya serikali kwa kweli niliifurahia sana ile bajeti kwa sababu haijawahi kutokea kwa miaka mingine bajeti kuu ikisomwa iwekwe kipaumbele kilimo,sasa nawaagiza mkalime mazao ya biashara kwa kuwa soko la uhakika lipo hivyo msiwe na wasiwasi juu ya soko kwa Rais wetu anatupenda na ndiyo maana anapambana kwa ajili yetu”alisema Ishengoma.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.