• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

Utoaji wa Chanjo ya magonjwa kwa Mifugo

Imetumwa: April 30th, 2018

ULANGA

Na Fatuma Mtemangani

Idara ya Mifugo na Uvuvi imefanikiwa kutekeleza majukumu mbalimbali ikiwemo kutoa kinga tiba dhidi ya magonjwa ya mifugo ikiwemo ngombe,Mbuzi,Kuku,Nguruwe,Kondoo,Sungura pamoja na Mbwa.

Akizungumzia chanjo hiyo Afisa kilimo wlaya ya Ulanga bwana Bernad Ntikabuze amesema kuwa jumla ya chanjo zilizotolewa kwa mifugo ni pamoja na ngombe 18,359,Mbuzi 7,542,Kondoo 6,901,Kuku 41,628,Nguruwe 3,017,Sungura 326,Mbwa 81 mifugo hiyo imepatiwa kinga aina ya ndigana,ndorobo,madini joto,ukurutu pamoja na kuhara damu.

Ntikabuze alisema kuwa idara pia wamefanikiwa kutengeneza vutambulisho kwa wafugaji waliosajili mifugo yao katika kipindi cha mwaka 2016/2017 ambapo jumla ya vitambulisho 1140 vilitengenezwa na kusambazwa kwa wafugaji hivyo katika marudio ya zoezi la utambuzi wa upigaji wa chapa wa mifugo jumla ya ngombe 6571 wamepigwa chapa kati ya hao 3521 wamerudiwa baada ya chapa kufutika na ngombe 3050 ni wapya hali ilyopelekea kufikia jumla ya ngombe 49,636 waliopigwa chapa wilayani Ulanga na zoezi hilo bado linaendelea katika maeneo mbalimbali.

Pia idara inasimamia shughuli za minada ya mifugo ambapo jumla ya ngombe 2,178 Mbuzi 1,800,Kondoo 1,1018 waliuzwa mnadani pamoja na ufuatiliaji wa matukio ya magonjwa ya mifugo vijijini hivyo idara imegundua kuwa kuna dalili za kuwepo kwa ugonjwa wa midomo na miguu{FMD}katika vijiji vya Nakafulu,Iragua,Igota,Mavimba na Kivukoni.

Kwa upande wa Halmashauri imefanya jitihada za kutoa elimu na ushauri kw wafugaji ambapo jumla ya wafugaji 18,931 wamepatiwa elimu na ushauri juu ya ufugaji bora wa mifugo na uhifadhi wa malisho kwa matumizi endelevu kupitia njia mbalimbali kiwemo Redio Ulanga Fm,mikutano ya wafugaji vipeperushi pamoja na majarida.

Pia kuboresha maeneo ya malisho,kuzingatia kinga na tiba dhidi ya magonjwa,kushiriki zoezi la kupiga chapa na uchangiaji wa ujenzi wa miundombinu ya mifugo kama vile majosho,malambo,visima,mabirika na mapalio.

Aidha idara inasimamia shughuli za utoaji wa leseni ya uvuvi na ukusanyaji na kufanikisha kutoa leseni 107 zenye thamani ya shilingi 4,280,000/= na ushuru wa samaki ni shilingi 1,432,500/= jumla kufikia shilingi 5,712,500/=.

Idara pia ina mikakati ya kuendeelea kutoa elimu kwa wafugaji ili waweze kutumia mbegu bora za mifugo kwa ajili ya kuzalisha mazao bora na yenye tija ambayo itapelekea kujikwamua kiuchumi,kufanya usajili wa mifugo wakati wa kiangazi ili kupata idadi kamili ya mifugo kwa wilaya ya Ulanga,kutambua maeneno ya malisho yaliyotengwa,kuhamasisha wafugaji kushiriki ipasavyo katika kuchangia ujenzi wa miundo mbinu ya mifugo na kuanzisha miradi ya unenepeshaji.

Mwisho.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.