• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

Utoaji Elimu ya Ukimwi kupitia club kwa Shule za Sekondari Wilayani Ulanga

Imetumwa: April 30th, 2018

ULANGA

NA Fatuma Mtemangani

Viongozi wa ngazi ya vitongoji,vijiji,kata wakiwemo waheshimiwa madiwani wanashauriwa kuhamasisha vijana kwa kuwapatia elimu lika kupitia mikutano yao namna ya kujikinga na mwagonjwa ya zinaa ikiwemo afya ya uzazi na ukimwi.

Akizungumzia suala la magonjwa hayo mratibu wa ukimwi wilayani ulanga bi leah ndama amesema kuwa miongoni mwa kazi zinazo fanywa na idara kwa sasa ni kutoa elimu kwa makundi mawili kuna vijana ambao wako nje ya shule na wale ambao wako ndani ya shule hasa katika masuala ya ukimwi na afya ya uzazi.

Bi.leah amesema kuwa kwa upande wa shule idara imeanzisha klabu za ukimwi kwa shule zote za sekondari wilayani ulanga kwa kutoa elimu mbalimbali kuhusu afya ya uzazi na ukimwi.

Hata hivyo kwa upande wa vijana walio nje ya shule wakiwemo vijana wanaoendesha pikipiki maarufu kama boda boda,wahudumu wa bar na guest,wafanyakazi wa saloon idara inakutana nao na kusikiliza changamoto wanazokutana nazo na namna gani ya kukabiliana nazo.

“Ukiangalia wafanyakazi wa bar kazi yao wanayofanya ni kazi kama kazi nyingine lakini kupitia kazi zao wanachangamoto sasa kupitia zile chnangamoto zao tunaelekezana namna gani wakabiliane kupitia hizo changamoto zao,wajikinge vipi katika suala zima la kupata magonjwa ya ngono na ukimwi na hatimae kupoteza ndoto zao hizo ndiyo miongoni mwa shughuli ambazo huwa tunazozifanya kama idara kupitia kitengo cha ukimwi katika halmashauri ya wilaya ya ulanga”. alisema bi.leah.

“Sambamba na hilo kama idara husimamia shughuli ambazo zinafanywa na wadau mbalimbali katika kupambana na suala la ukimwi na magonjwa ya ngono tuna watu kama shirika la kamfed wao wanashughulika na watoto wa kike kuwahamasisha umuhimu wa elimu kwa kujisomea na kutimiza ndoto zao,shirika la pamoja tuwalee wao nao wana klab mbalimbali za watoto wanaoishi katika mazingira magumu katika kila kijiji pamoja na shirika la solidamed ambao wanawaelimishaji jamii kila kijiji na wale waelimishaji jamii wametengeneza vikundi vyao vya hamasa hivyo wanatoa elimu kwa njia ya sanaa katika maeneo mbalimbali wakiwemo vijana na makundi mbalimbali”.alisema bi. leah

Bi.lea amewataka wadau mbalimbali kupambana hasa suala zima la ukimwi ili ifikapo mwaka 2030 maambukizi ya ukimwi kufikia asilimia sifuri na vifo vitokanavyo na ukimwi na unyanyapaa kufikia asilimia sifuri.

Hata hivyo bi.leah ameelezea changamoto wanazokutana nazo juu ya utoaji elimu ya magonjwa ya zinaa ni pamoja na ukosefu wa miundo mbinu ya kifedha hali inayopelekea kutoifikia jamii kwa wakati hivyo halmashauri kwa kupitia makato ya ndani wanawafikia vijana.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.