• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

Utekelezaji wa Mazao mkakati ikiwemo Korosho laanza kutekelezwa

Imetumwa: October 18th, 2018


ULANGA


NA Fatuma Mtemangani


Wilaya ya Ulanga ni miongoni mwa Wilaya zinazolima zao la Korosho,kilimo cha Korosho kilianza tangu kipindi cha ukoloni lakini kwa kipindi kirefu uendelezaji wa zao hili halikupewa msukumo wa kutosha hivyo ilisababisha kukosa huduma za msingi kama vile palizi,udhibiti wa magonjwa na wadudu hali iliyopelekea wengi kutelekeza mashamba ya korosho.

Akizungumzia zao hilo la korosho afisa mazao Wilayani Ulanga bwana Revocatus Ngusa alisema kuwa hadi kufikia sasa Wilaya ya Ulanga imefanikiwa kuwa na mikorosho mikubwa zaidi ya laki tana na elfu thelathini{530,000} hivyo Halmashauri imefanya jitihada ili iweze kuleta tija katika uzalishaji.

Bwana Ngusa aliongeza kua katika msimu wa mwaka 2012/2013 Wilaya ilianza utekelezaji wa mpango wa ufufuaji wa zao la korosho katika ukanda wa chini hasa kwenye tarafa za Lupiro,Vigoi,Ruaha na Mwaya kwa kushirikina na Bodi ya Korosho Tanzania na Wadau wa Maendeleo katika sekta ya Korosho kama Swisscontact Tanzania.

Hata hivyo utekelezaji wa shughuli za Maendeleo ya zao la Korosho kwa mwaka 2017/2018 Wilaya ya Ulanga ilianza kutoa huduma za ugani katika zao Korosho na Halmashauri imewezesha mafunzo ya kilimo bora cha korosho na kufanya ziara ya mafunzo mkoani Mtwara kwa vikundi vinane na wataalamu wanane kutoka vijiji vya Nakafulu,Igumbiro,Mavimba,Nanungu,Iragua,Mbuga na Minepa.

Katika kusimamia usambazaji wa pembejeo za zao la Korosho na uvunaji kwa Halmashauri na kushirikiano wa Bodi ya Korosho imewezesha usambazaji wa pembejaeo hasa mbegu za Korosho na kuzalisha miche na kugawa kwa wakulima kulingana na mahitaji ya kijiji.

“kutokana na mgao wa mbegu tulizopata msimu huu Wilaya ilizalisha miche laki moja tisini na moja elfu mia tisa ishirini na mbili kupitia vikundi,taasisi na watu binafsi saba na kugawiwa  wakulima katika kata za Mbuga,Euga,LUKANDE,Ketaketa,Vigoi,Msogezi,Kichangani,Lupiro,Iragua,Milola na Minepa.

Aidha Wilaya ya Ulanga imefanikiwa kutoa Elimu ya uongezaji wa thamani kwenye zao la Korosho kwa kukuza ubanguaji na usindikaji kwa vikundi sita kwa vijiji vyaMinepa,Mavimba,Igumbilo,Nanungu,Mbuga na Nakafulu pamoja na kukuza masoko ya ndani ya zao la  Korosho.

Pia wananchi wanaendelea kuhamasishwa juu ya umuhimu wa matumizi ya Korosho kama chakula muhimu kwa binaadamu ili kuhamasisha kununua Korosho hivyo wakulima wengi wamehamasika katika kilimo cha Korosho na kuongeza mahitaji ya pembejeo za korosho{Mbegu na Miche} toka wakulima 146 kwa mwaka 2012/2013 hadi wakulima 5,000 kwa msimu wa mwaka 2017/2018.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.