• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

utaratibu wa kukaimisha ofisi

Imetumwa: September 3rd, 2018

Na Yuster Sengo

Mkuu wa wilaya ya Ulanga M Ngollo Malenya amemtaka kaimu mwenyekiti wa kijiji cha Iputi Bw.Fadhili Hassan kujiengua katika wazfa huo ifikapo tarehe 3 septemba mara baada ya kikao cha kusoma mapato na matumizi ya kijiji hicho

Hatua hiyo imekuja mara baada ya sintofahamu kuhusu uongozi wa kijiji hicho ambapo viongozi wa kijiji hicho wanakaimishana bila kufuata taratibu na miongozo inayotakiwa

Akizungumza katika kikao hicho ,Bw     Twaha Athuman      ambaye ni mkazi wa Iputi amesema kuwa halmashauri ya kijiji hicho imekuwa ikikaimishana uongozi  kwa watu bila kushirikisha wananchi hali inayowapa wasiwasi wananchi 

“kumekuw na tabia ya kukaimishana uongozi wenyewe kwa wenyewe bila kutupataarifa wananchi au hata kuitisha mkutano ili kuwatambulisha na wananchi kuridhia,sasa tangu mwenyekiti tuliemchagua yupo kizuizini lakini tangu awekwe kizuizini kumakuwa na makaimu karibia sita hali inayomyumbusha afisa mtendaji kuleta maendeleo”amesema Bw. Twaha

Akizungumzia sheria ya jinsi ya kukaimishana ofisi,Joseph Mkude ambaye alikuwa anamuwakirisha mkurugenzi mtendaji wa halmashuri ya wilaya ya Ulanga Bw. Yusuph Semguruka amesema kuwa kabla ya kukaimisha ofisi kwa mtu yeyote ni lazima wananchi waridhie na kumkubali anayekaimishwa nafasi hiyo

“hauwezi kumpa mtu uongozi kwa kuwa unamtaka wewe,utaratibu ni kuwa unaitisha mkutano wa kijiji na kuachia wananchi wapendekeze mtu wanaemtaka wakisha ridhia kwa pamoja ndio anapitishwa kushika uongozi huo

Hata hivyo mkuu wa wilaya amewasisitiza wakazi wa kijiji hicho kuhudhuria kikao kitakachoitishwa septemba 6 mwaka huu ili kusukiliza ripoti ya mapato na matumizi na baadaya hapo kumtaka makamu mwenye kiti wa kijiji anayekaimu kwa sasa kuachia nafasi hiyo ili kufata utaratibu uanaotakiwa

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.