• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

Ushirikiano wa kazi katika Halmashauri unaleta maendeleo ya haraka

Imetumwa: September 27th, 2018

Na 

Fatuma Mtemangani

Mkuu wa wilaya ya Ulanga Bi. Ngollo Malenya amewataka wananchi wa Ulanga kushirikiana pamoja katika ujenzi wa vyumba vya madarasa na maabara kwani huduma hiyo ikikamilika itawanufaisha wananchi wote.

Mkuu wa wilaya ameyasema hayo wakati wa ziara yake katika tarafa zote zilizopo wilayani Ulanga na kufanya mkutano hadhara ili kujua changamoto zinazowakabili wananchi na kuzipatia ufumbuzi.

Hata hivyo amewataka viongozi wa kata,vijiji na vitongoji kuitisha mikutano kwa lengo la kuhamasisha wanachi kutoingiza mambo ya siasa kwenye swala la maendeleo na badala yake wachangie shughuli za maendeleo kwa ajili ya vizazi vya sasa na baadae.

“Jamani shughuli za maendeleo hazina chama naombeni tumuunge mkono rais wetu wa jamhuri ya ,muungano wa tanzania Daktrari John Pombe Magufuli anafanya maendeleo bila kujali itikadi ya chama chochote,kabila wala rangi na ndiyo maana tunapata maendeleo mazuri na kwa wakati lakini angefuata mambo ya chama na ukabila leo hii tusingekuwa na maendeleo”.alisema Ngollo.

Pia Bi. Ngollo amewataka viongozi kushirikiana kwa pamoja ili kuijenga Ulanga mpya yenye mafanikio na kuacha maneno ambayo hayataifikisha ulanga mahali sahihi hivyo wanapaswa pia kuwashirikisha wananchi katika shughuli mbalambali za maendeleo ya vijiji kwa kufyatua matofali,kusomba mchanga,mawe katika kumalizia ujenzi wa vyumba vya madarasa kwa shule za sekondari, na uchangiaji wa bima ya afya CHF iliyoboreshwa.

Aidha katika ziara hiyo mkuu wa wilaya ameongozana na viongozi mbalimbali wa halmashauri akiwemo katibu TAWLA wa wilaya ndugu Abraham Mwaikwira,mganga mkuu wa wilaya Daktari  Rajabu Risasi pamoja na kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ili kuangalia juhudi zinazofanywa na wananchi.

Mkuu wa wilaya amefanya ziara katika tarafa ya ikiwemo tarafa ya Mwaya,Lupiro,ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake kwa kutembelea mgodi wa mdini wa Epanko na kutazama namna ya kuwasaidia wachimbaji wadogo ambao kidogo wanaonekana kuyumba kiuchumi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.