• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

Ulanga kuadhimisha siku ya Mashujaa kwenye kaburi lililozikwa Mashujaa zaidi ya 3000

Imetumwa: July 25th, 2022

Na Yuster Sengo

Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga kwa mara ya kwanza imeadhimisha siku ya Mashujaa kwa kufanya Ibada/Dua na kuweka mashada ya maua kwenye kaburi lililozikwa Mashujaa zaidi ya 3000  waliopigana vita ya majimaji mwaka 1905-1907

Akizungumza wakati wa maadhimisho hayo Mkuu wa Wilaya ya Ulanga Mh. Ngollo Malenya amesema kuwa Serikali ya jamuhuri ya Muungano wa Tanzania  inatambua umuhimu wa Mashujaa waliokufa kwenye vita na ndiyo maana imewekwa tarehe rasmi kwaajili ya kuenzi maadhimisho ya Mashujaa

“Tumekusanyika hapa kwakuwa tunatambua mchango wa Mashujaa waliopigana vita kwaajili ya kupigania Uhuru na Serikali pia inatambua mchango wa Mashujaa wetu ndiyo maana kukawa na Tarehe rasmi ya maadhimisho hayo”Amesema Mh. Ngollo

Hata hivyo akizungumza katika maadhimisho hayo Afisa Tawala  bi. Huruka Rajab amemshukuru Mkuu wa Wilaya ya Ulanga na Ofisi ya Mkurugenzi kwa kufanya juhudi ya kukarabati eneo hilo la kaburi la Mashujaa na kulifanya liwe na hadhi inayotakiwa kwa kuweka mnara

“Hili eneo lilikuwepo lakini Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi wamefanya juhudi ya kujenga Mnara huo kwaajili ya kumbukumbu ya Mashujaa waliopigana vita 1905-1907”Amesema Bi.Huruka

Naye Afisa Maliasili Bi. Florencia Massawe akisoma Taarifa ya Maadhimisho ya siku ya Mashujaa amesema kuwa siku hii huadhimishwa tarehe 25/7 kila mwaka na sababu ya maadhimisho haya ni kuenzi Mashujaa waliopigana vita mwaka 1905-1907 baada ya waafrika kulazimishwa kulima Pamba bila ujira

Maadhimisho hayo ambayo yamefanyika katika eneo la kaburi la Mashujaa lililopo katika kijiji cha Chamange imeleta historia mpya kwani Maadhimisho hayo yamefanyika kwa mara ya kwanza wilayani Ulanga kwa kuzuru Eneo hilo na Kufanya Dua/Sala  fupi kwaajili ya kuwaombea Mashujaa waliozikwa mahali hapo    

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kazini July 11, 2022
  • Tangazo la Zabuni January 19, 2023
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga March 13, 2023
  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Baraza la madiwani wilayani Ulanga limepitisha makisio ya mpango wa bajeti ya jumla ya shilingi 35,218,202,000.00

    February 20, 2023
  • Baraza la madiwani wilayani Ulanga limepitisha makisio ya mpango wa bajeti ya jumla ya shilingi 35,218,202,000.00

    February 20, 2023
  • Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Ulanga afurahishwa na Maonesho ya nane nane kanda ya Mashariki

    August 08, 2022
  • Ulanga yawa Kivutio Kwa Kutengeneza Mkaa wa Makaratasi

    August 05, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

Ziara ya Waziri wa Nishati Mh.Merdad Kalemani katika kijiji cha Epanko wilayani Ulanga
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.