• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

TANZANIA HEALTH PROMOTION SUPPORT (THPS) watambulishwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Imetumwa: September 6th, 2018

NA FATUMA MTEMANGANI

Mradi wa kupambana na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (VVU) kwa makundi maalumu na yaliyo katika hatari zaidi katika ngazi ya jamii ujulikanoa TANZANIA HEALTH PROMOTION SUPPORT (T H P S) umetambulishwa  leo katika Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga Mkoani Morogoro kwa lengo la kutoa Elimu kwa jamii juu ya mapambano dhidi ya VVU na UKIMWI .

Katika kutambulisha mradi huo wadau mbalimbali walialikwa wakiwemo viongozi wa dini ambapo mgeni rasmi alikuwa mkuu wa wilaya ya Ulanga bi.Ngollo Malenya lakini aliwakilishwa na mkurugenzi mtendaji ndugu Yusuph Semuguruka ambapo ameshukuru mradi huo katika mkoa wa Morogoro   wilaya ya Ulanga ndiyo Wilaya ya kwanza kuanza kufanya kazi.

“Ndugu Semguruka alisema kuwa shirika pia liangalie mavazi wanayovaa watoto wa kike na pia kujitambua kwani hiyo huleta vishawishi kwa baadhi ya wanaume,na pia alitaka kujua kwa watoto ambao ni wasichana balehe wa shule za msingi ambao wanasahaulika sana na wanafunzi wa shule za sekondari  wanaachwa na wazazi wao wakati wa kilimo wazazi wanahamia shamba na kuwaachia majukumu ya kifamilia je kama mradi mnawezaje kulidhibiti hilo?”Aliuliza Semuguruka.

Akijibu swali hilo mwezeshaji katika uzinduzi huo bi. Vaileth Moshiro alisema kuwa shirika litafanya jitihada ya kuwafikia  makundi hayo na kutoa elimu juu ya maambukizi mapya ya VVU,kuunda vikundi kama vikoba pamoja na kuwapatia elimu ya ujasiriamali,kuwapatia mitaji,kuwahudumia  kitabibu,kuwapatia madawa na vipimo pale vitakapohitajika pia kwa upande wa wazazi shirika litatoa elimu kwa wanafuzni hao na wazazi ili wazazi waondokane nah ii dhana ya kuacha watoto nyumbani peke yao wakati wa kilimo.

“wadau wetu watafanya kazi kwa karibu na T H P S na kwa uangalizi wa ofisi ya mganga mkuu wa mkoa na mganga mkuu wa wilaya kuhakikisha mradi unafikia malengo tuliyokusudia katika wilaya yetu ya Ulanga na watu watabadilika kwani Ulanga bila UKIMWI inawezekana”Alisema mkurugenzi.

Hata hivyo bi.Vaileth Moshiro ameongeza kuwa mradi huo umelenga makundi maalumu wakiwemo wanaotumia madawa ya kulevya,wasichana balehe na wanawake vijana,wafanyabiashara wakubwa,kambi za wavuvi,watu wenye ulemavu na wanaofanya biashara ya ngono(madanga)lengo kubwa ni kuwasaidia kiuchumikwa wabadilike kitabia kwa kupunguza maambukizi ya UKIMWI.

Pia bi Vaileth Moshiro amewaomba viongozi wa dini walihudhuria katika utambulisho wa mradi huo kuhubiria hali ya hatari ya maambukizi katika nyuma za ibada na kufikisha ujumbe huu kwa makundi maalumu katika wilaya ya Ulanga.

Aidha mkurugenzi amewapongeza na kuwashukuru mradi huo unaoendeleza mapambano dhidi ya UKIMWI lakini pia vita dhidi ya VVU kwa kusaidiwa na Global Fund ambao unatoa elimu hii kwa mikoa mitano nchini Tanzania na kwa wilaya ya Ulanga utafanyakazi kwa miaka mitatu.

Ili kutokomeza kupunguza maambukizi ya VVU nchini kuweza kutokomeza UKIMWI duniani ifikapo mwaka 2030,ni dhahiri kuwa tunao wajibu wa kuweka mipango na mikakati ya kupambana na vvu na UKIMWI kwa makundi haya,kutokana na UKIMWI kwa makundi haya yapo juu sana kulinganisha wastani wa kiwango cha maambukizi nchi nzima.  

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.