• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

Mkuu wa Wilaya ya Ulanga aonya Mila na Desturi kandamizi zinazolazimisha watoto wa kike kuolewa kinguvu

Imetumwa: December 4th, 2018

Ulanga

Na

Fatuma Mtemangani

“Inashangaza sana kuona bado mnazikumbatia mila na desturi kandamizi zinazo wanyanyasa Wanawake,kwani Wanawake pia wanayo nafasi na haki ya kupanga na kuamua mambo hivyo tuache kuwaamulia vitu wasivyovitaka”Alisema Malenya.

Mh.Ngollo Malenye ameyasema hayo wakati alipotembelea katika kijiji cha Mbuyuni kuzungumza na wafugaji waliovamia meneo yaliyotengwa kwa ajili ya malisho hivyo alipofika kijiji cha Mavimba aliwakuta vijana wa kiume kabila la wasukuma wakimlazimisha kuoa kwa nguvu mwanamke yaani [chagulaga].

Mkuu wa Wilaya amewataja vinara hao wa kujipatia wake kwa nguvu kupitia mila potofu[chagulaga] ni watatu akiwemo Ngalula Lukaba,Masanja Scania na Majiga Lutamuno na kusema kua watuhumiwa hao wametiwa mbaroni na watafikishwa mahakamani na huu ni mwendelezo wa maadhimisho ya kupiga ukatili kwa Wanawake.

“Nasema hivi hatuwezi kuwafumbia macho watua ambao bado wanaendeleza mila na tamaduni ambazo hazina faida yeyote kwa jamii sio wa kuwachekea chekea nataka wote wakamatwe na kesi zao ziende mahakamani haraka ili tabia hii iweze kukoma na iwe fundisho kwa wafugaji wengine kwa Wilaya ya Ulanga”.Alisema Malenya.

Hata hivyo mh.Malenye alisema kua zoezi la kuwakamata wahusika bado linaendelea na yeyote atakaebainika hatua kali zitachukuliwa kwani kitendo hicho kinatambulika kama ubakaji kwani vitendo hivyo wamekuwa wakifanyiwa mabinti wenye umri mdogo sana.

Aidha amewataka jamii ya wafugaji wote Wilaya ya Ulanga kuacha mila na desturi ya kuwalazimisha watoto wa kike kuolewa wakiwa na umri mdogo na badala yake wapeleke watoto shule wakapate elimu ili waweze kutimiza ndoto zao.

Mkuu wa Wilaya amewaonya watu wenye mila potofu Wilayani hapa na kusisitiza kuwa hilo halikubaliki kisheria na yeyote atakaebainika anaendelea na zoezi hilo hatosita kumchukulia hatua dhidi yake hivyo wanapaswa kufuata sheria na taratibu kwa kutenda haki kwa watoto wa kike.

Mwisho.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.