• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

Mkuu wa Wilaya ya Ulanga akemea vikali tabia ya Chagulaga

Imetumwa: July 8th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Ulanga Mh.Ngollo Malenya amepiga marufuku tabia ya baadhi ya vijana kuwalizimisha wanawake kufanya nao mapenzi kwa nguvu na kutaka kuwaoa bila ridhaa yao

Kauli hiyo imekuja baada ya wanawake kutoa malalamiko yao kwa mkuu wa Wilaya katika muendelezo wa ziara yake ya kupokea kero kwa wananchi wa vijiji vya Ulanga .

“ Kuna baadhi ya wanaume wanatabia ambazo hazifai kwenye jamii kwani wanalazimisha wanawake kufanya mapenzi bila wao kuridhia na pia wanawavizia wanawake wakiwa wanaenda shamba au kwenye mnada”Amesema Mh.Ngollo

“Kwa kitendo hicho mnachofanya ni ubakaji kama walivyo wabakaji wengine na hivyo serikali haitafumbia macho mtu au kikundi chochote cha watu wenye tabia hiyo ambayo inafaamika kwa jina la Chagulaga”Ameongeza Mh. Ngollo

Hadija Miraji Matana ni mkazi wa kijiji hicho cha Igumbiro ameiomba serikali ifatilie kwa ukaribu sana suala hilo la chagulaga  kwani imekuwa ni kero kubwa na linawanyima raha wanawake wa kijiji hicho

“kuna baadhi ya vijana wanakuvamia kwa nguvu kutaka kufanya mapenzi na wewe,kama ukikataa wanakupiga viboko na hata baba yako au bwana wako anakuja kukugombelezea na yeye wanampiga viboko,kwahiyo hii imekua changamoto,usumbufu na kero”Amesema Bi.Hadija

James Renatus ni kijana kutoka katika kijiji cha Igumbiro ambaye hapa anaelezea maana ya kitendo hicho cha chagulaga

“Ni kama mnakuwa vijana kwenye kundi mnaenda kutembelea sehemu halafumkakutana na wanawake aidha mmoja au watatu ,mnawazunguka kwa kuweka duara na mnawalazimisha kati yenu achague mwanaume mmoja aliyempenda akikataa mnamkamata mnaingia nae vichakani na kumlazimisha kufanya mapenzi hi indo maana halisi ya neon chagulaga kutoka katika kabila la kisukuma “Amesema Bw. James

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.