• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

Mkuu wa Mkoa Wa Morogoro awataka wakazi wa Lupiro kutunza kituo cha Afya Lupiro

Imetumwa: April 26th, 2019

Na.Yuster Sengo

Mkuu wa mkoa wa morogoro Kebwe Steven Kebwe amewaomba wa kazi wa tarafa ya lupiro kulinda na kutunza kituo cha afya Lupiro kwani kituo hicho kinafaida kubwa ya kutoa huduma za kiafya katika tarafa hiyo

Akizungumza katikamkutano wa wananchi mara baada ya kukagua kituo hicho ambacho kipo katika hatua za mwishoni kukamilika,mkuu wa mkoa amesema kuwa majengo hayo ambayo ni chumba cha upasuaji,wodi ya akina mama wajawazito,chumba cha kuhifadhia maiti,maabara pamoja na nyumba ya mganga imegharimu shilingi milioni mia nne pesa iliyotolewa na serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Joseph Magufuli

“Majengo hayo yote hayo yaliyojengwa pale ni ya kisasa kabisa na imegharimu shilingi milioni mia nne na pesa hii imetolewa na Rais Magufuli kwaajili ya kuboresha sekta ya afya nchini”Amesema Dkt Kebwe.

“Na pale kwenye kile chumba cha upasuaji kumefungwa vifaa vya kisasa kabisa ambavyo pia vitasaidia sakafu isigandie uchafu kabisa kama tunavyofahamu katika chumba cha upasuaji huwa kuna uchafu mbalimbali”Ameongeza Dkt Kebwe

Katika hatua nyingine Mkuu wa Mkoa huyo amesema kuwa sula la elimu bila malipo limeendelea kupewa kipaumbele ambapo tarafa ya Lupiro imepewa shilingi Milioni 270 kwaajili ya ujenzi wa shule ya sekondari katika tarafa hiyo

Aidha amewataka watendaji na wenyeviti wa vijiji kusimamia kwa ukaribu suala la majitolea kwa wananchi ili ujenzi huo uende kwa haraka kwani ifikapo mwezi wa saba mwaka huu ,majengo hayo ya sekondari yanatakiwa kuanza kutumika

“Mmeanza vizuri hamasa,na kazi mliyofanya jumamosi ni nzuri sana kwahiyo muendelee na hivyo hivyo ili watoto wetu waanze kutumia madarasa hayo mapema iwezekanavyo”Amesema Dkt Kebwe.

Aidha amemuomba diwani wa kata hiyo ya lupiro kuandaa ratiba itakayowafanya wannchi kutajua kuwa ni zamu ya kijiji Fulani kufanya majitoleo ili wajitokeze kwa wingi katika kufanya majitoleo hayo ambayo yatasaidia kumaliza ujenzi kwa wakati.

Hata hivyo amewakumbusha watendaji pamoja na wananchi kuwa ifikapo tarehe 30/6 /2019 pesa hizo zakutekeleza mradi wa kujenga sekondari Lupiro zitzrudishwa serikalini kama zitakuwa bado hazijatumik

“Hiyo ni sheria, kama fedha zitakua hazijatumika hadi kufikia tarehe 30/6 basi pesa hizo zitzrudishwa ,kumbukeni kuwa hii ni sheria na ipo wazi hivyo ni juhudi zetu za majitoleo zitakazo tusaidi kumaliza mradi huu kwa wakati”Ameongeza Dkt Kebwe

Aidha wananchi wa Tarafa ya Lupiro wamekubaliana kutumia nguvu ya pamoja ili kumaliza kazi ya ujenzi wa sekondari ya Lupiro na kuanza kutumika na wanafunzi ifikapo mwezi wa saba mwaka huu.

Mwisho

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.