• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

mkuu wa mkoa wa morogoro amtaka mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Ulanga kutumia pesa za mapato kwa usahihi

Imetumwa: August 27th, 2010

Na. Yuster  Sengo

Mkuu wa mkoa wa Morogoro Mh. Loata Ore Sanare amemtaka mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Ulanga Ndg. Jonas Mallosa kuhakikisha pesa zote zinazokusanywa na halmashauri kuingizwa benki kwa utaratibu wa elektroniki kabla ya akuzifanyia matumizi

Akizungumza katika baraza maalum la hoja ,Mh Sanare amesema kuwa ,mkurugenzi hakatazwi kutumia pesa hizo kama anavyotaka ila anatakwa kufuata utaratibu kabla ya kufanya matumizi yoyoyta

“ Haunyimwi kutoa na kutumia uavyotaka wewe ila katika aeneo mengi ndani ya halmashauri zetu wakata hela juu kwa juu wanawapatia shida vijana wale wana tukusanyia fedha kwa sababu maelekezo yanatoka kwa mkurugenzi,maelekezo yanatoka kwa DT,maelekezo yanatoka kwa Yule mwingine “Amesema Mh. Sanare

Aidha ameongeza kuwa kutokana na usimamizi mbovu wa fedha za halmashauri kw mwaka wa fedha 2017/2018 halmasahuri ya wilaua ya Ulanga ilipata hati isiyoridhisha hali ambayo siyo nzuri kwa ustawi wa halmashauri yetu

“Ninatambua kwa hati hiyo isiyoridhisha ndiyo maana  mmekezana na hatimae mwaka  wa fedha wa 2018/2019 mmekazana na hatimae mmepata inayoridhisha”Ameongeza Sanare

Hata hivyo ameongeza kuwa mashaka yaliyosababisha halmashauri kupata hati isiyoridhisha ni kutokana na usimamizi mbaya wa mapato ya ndani yanayokusanywa na halmashauri ambapo zaidi ya shilingi bilioni moja ilihojiwa juu ya usimamizi wake

Amesema kuwa kutokana na hati ambayo halmashauri imepata kwa mwaka huu wa fedha , inaonyesha kuwa kumekuwepo na usimamizi wa rasilimali za umma unaoridhisha

Hata hivyo amesisitiza kuwa ni wajibu wa baraza la madiwani na menejimenti kwa ujumla kuyalinda mafanikio ya mwaka uliopita ili wasije wakarudi tena nyuma

“Baraza hili liwe kali na menejimenti msikie ushauri kutoka kwa baraza la madiwani ,msije mkarudi huko ambapo tulipata hati isiyoridhisha “Ameongeza Mh. Sanare

Mh. Sanare ametoa wito kwa baraza la madiwani kuhakikisha wanaendeleza utendaji kazi mzuri kwa kuepuka utendaji wa mazoea na usio zingatia taratibu ili kuepuka hoja zisizop kuwa za lazima

Aidha amewataka waheshimiwa nmadiwani kuhamasisha na kuhakikisha wananchi wanalipa kodi kama ambavyo wamekuwa wakilipa ili fedha hizo zije kwaajili ya kutatua changamoto zote zilizopo ndani ya halmashauri ya Ulanga

“Maeneo mengine madiwani wengine ndion shida , wanahamasisha wananchi wasilipe kodi,hii ni shida sana na kwa bahati mbaya sana tuazo taarifa za madiwani wa kata hizo wanaofanya mambo kama hayo hatutawavumilia “Amesema Sanare

Mwisho

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.