• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

Mkurugenzi wa wilaya ya Ulanga aagiza chakula kutolewa mashuleni

Imetumwa: April 15th, 2019

Na Yuster Sengo

Mkurugenzi mtendaji wa halmshauri ya wilaya ya Ulanga Ndg .Jonas Mallosa ametoa agizo kwa maafisa tarafa na maafisa watendaji kuwa ifikapo tarehe 1/5/2019 shule zote za kutwa ambazo zilikua hazitoi chakula kwa wanafunzi ,zianze kutoa chakula

Akizungumza katika kikao kazi cha maafisa tarafa,maafisa watendaji na wakuu wa idara, mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo amesema kuwa utoaji wa chakula mashuleni ni muhimu kwani inasaidia kuongeza ufaulu na ni kwa faida ya watoto wetu

Aidha amewaagiza maafisa tarafa na watendaji wakafanye vikoa mapema na maafisa elimu ili kuandaa mkakati wa nini kifanyike ili kuanza kutoa chakula ifikapo 1/5/2019 na atakae kaidi agizo hilo , watoe taarifa kwake ili kuona nini cha kufanya juu ya mtu huyo

“sasa ifike tarehe hiyo nikute mtendaji shule yake haijaanza kutoa chakula tutachukua hatua zingine kitu ambacho sitarajii kufika huko,kwahiyo mkalishughulikie suala hili kwa umakini”amesema Mallosa

Hata hivyo Ndg Mallosa ameongeza kuwa suala la chakula ni jukumu la mzazi hivyo mzazi au mlezi atakayegoma kuchangia chakula atawajibishwa kwa kufuata sheria inavyosema

Akizungumza katika kikao hicho Afisa Elimu Sekondari Bw. Alois Kaziyareli amesema kuwa mwaka jana mkuu wa wilaya ya Ulanga alizunguka wilaya nzima kuhamasisha suala la chakula mashuleni lakini baadhi ya shule hazikutoa chakula

Aidha ameongeza kuwa kwa suala la elimu bila malipo, chakula mashuleni na sare za shule ni jukumu la mzazi wa mtoto husika na si suala la serikali.

“Serikali inashughulika na mambo mengine yote lakini suala la chakula na sare za shule ni jukumu la mzazi au mlezi “Amesema Kaziyaeri .

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.