• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

Mchango wa ajali

Imetumwa: August 29th, 2017

Mbunge wa Ulanga Mh. Goodluck Mlinga ametoa kiasi cha shilingi milioni tano na laki tano kwa ajili ya kuwafariji majeruhi  na wafiwa wa ajali ya basi la Mfundo iliyotokea hivi karibuni katika mlima Ndororo.

Fedha hizo zilikabidhiwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Ulanga Jacob Kassema ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya maafa wilaya ili awasilishe kwa walengwa ikiwa kwa ajili ya kuwapa pole familia za waliopoteza maisha na majeruhi  wa ajali hiyo.

Akipikea fedha hizo Mkuu wa Wilaya Ndugu Kassema alimshukuru mbunge kwa msaada alioutoa kwani utawasaidia sana wafiwa na majeruhi na kuwafariji kutokana na kupoteza mali zao katika eneo la ajali.

Wakati huo huo madiwani wa kamati ya fedha, Utawala na Mipango na Idara nao walitoa mkono wa pole kwa wafiwa na majeruhi ambapo mchango huo ulikabidhiwa kwa Mganga Mkuu na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Ulanga Mh. Amina Seif na kusema kuwa fedha hiyo imetolewa kwaajili ya kugharamia matibabu ya majeruhi waliopo wodini na waliotibiwa na kuruhusiwa.

Aliongeza kuwa waheshimiwa madiwani wameguswa sana na ajali hiyo na kuona kuwa kuna haja ya kuwasaidia kuwalipia matibabu kwani wengi wao wamepoteza vitu sehemu ya ajali hivyo ingewahuia ugumu wa kulipia matibabu na kuamua kuwachangisha madiwani wa kamati ya fedha na wakuu wa Idara na kufanikiwa kukusanya kiasi cha Tshs. 327,000.

Akipokea fedha hizo Mganga Mkuu wa Hospitali ya Wilaya Dkt. Rajabu Risasi amewashukuru waheshimiwa madiwani kwa msaada huo na kueleza kuwa fedha hiyo itawasaidia katika kufidia madawa yaliyotumika siku ya ajari kwani majeruhi wote walitibiwa bila kujali kama wana fedha za matibabu.

Basi la Mfundo lilipata ajali siku ya alhamisi katika mlima Ndororo na kujeruhi watu thelathini na tatu na kusababisha vifo vya watu saba.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.