• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

Mazingira

Imetumwa: April 18th, 2018

 

ULANGA

NA Fatuma Mtemangani

 

 

Afisa mazingira  wilayani ulanga bwana Jastin Bundu amewapongeza Wananchi wilayani ulanga mkoani morogoro kwa kuimarisha usafi wa mazingira  katika maeneo yao hasa katika kipindi hiki cha mvua za masika na kuepukana na magonjwa ya mlipuko yanayoweza kujitokeza.

Aidha bwana Bundu amewata wale wote ambao vyoo vyao vimeharibiwa na mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini kuhakikisha wanarekebisha vyoo hivyo ama kujenga upya ili kulinda afya za watumiaji.

Hata hivyo amewatahadharisha baadhi ya wananchi wenye tabia ya tabia ya kutiririsha maji machafu kwenye mifereji waache mara moja hivyo wanapaswa kufanya usafi kwa kufyeka majani kwenye makazi yao ili kuepukana na magonjwa hatari ikwemo ugonjwa wa homa ya matumbo,kipindupindu na malaria.

“Nasema kuanzia leo tutafuata sheria za mazingira kama zinavyoelekeza kwa yeyote atakaekiuka kuimarisha usafi wa mazingira katika eneo lake atatozwa faini ya shilingi elfu hamsini papo hapo Ili kuepukana na magonjwa yasiyo lazima,hivyo kila mwananchi anapaswa kuwa na choo bora na kuhifadhi taka kwenye mifuko na kuzipeleka kwenye kizimba kilicho karibu yake.alisema Bundu.

Bwana Bundu ameongeza kuwa serikali ina mtandao mkubwa wa kutoa elimu kwa wananchi kwani wana wawakilishi kuanzia ngazi za vijiji kata tarafa hadi wilaya hivyo wananchi mnatakiwa kuzingatia ushauri wanaopewa na wataalam wa mazingira.

sambamba na hilo ameitaka jamii kutobweteka kutokana na wilaya ya ulanga kupita salama katika kipindi cha masika kwa mwaka uliopita na hata mwaka huu hakuna mlipuko wowote uliojitokeza mpaka sasa hivyo jamii inatakiwa kuishi kwa kufuata sheria na kanuni bora za mazingira.

MWISHO.

 

 

 

 

 

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.