• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

Mafanikio ya huduma ya Afya CHF iliyoboreshwa

Imetumwa: May 16th, 2018

ULANGA

Na Fatuma Mtemangani

Jumla ya kaya 14,071 zenye wanachama 71,293 zimejiunga na zimeingizwa kwenye mfumo (IMIS)  kwa kipindi cha Machi 2016 March 2018, sawa na asilimia 45.47 ya kaya zote za Wilaya ya Ulanga.

Hayo yamebainishwa na mratibu wa bima ya afya ya CHF iliyoboreshwa bi Sigilinda Mdemu wakati akizungumza na Ulanga Fm ofisini kwake juu ya mafanikio waliyoyapata kwenye uhamasishaji kwa wananchi kujiunga na bima ya chf iliyoboreshwa kwawilaya ya ulanga.

Bi Sigilinda ameongeza wananchi wa wilaya ya ulanga wamejitokeza kwa wingi kujiunga na huduma hiyo na hasa jamii ya wafugaji ambao wamekua mstari wa mbele kujiunga na huduma hiyo kwa kuwaptia elimu juu ya faida zinazopatikana na CHF iliyoboreshwa.

“Sisi timu ya CHF iliyoboreshwa tumefanya kazi kubwa sana kutoa elimu kwa jamii juu ya kujiunga na huduma hiyo hasa jamii ya wafugaji ambayo ilkua ni changamoto kubwa kutokana na uelewa mdogo waliokuwa nao lakini tunashukuru wafugaji wengi wamejitokeza na kujiunga na bima yaafya ya CHF iliyoboreshwa”.

“Pia tumetoa elimu kwa  Wenyeviti wa vijiji na vitongoji kwa kata zote za Wilaya ya Ulanga namna ya kuhamasisha wananchi kujiunga na CHF iliyoboreshwa hivyo wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuifikisha elimu hii kwa jamii na mafanikio yake tunayao na tumekuwa na wanachama wengi katika huduma hiyo”.

Hata hivyo CHF iliyoboreshwa imefanikiwa Kufungua dirisha maalum kwa wanchama wa CHF kwenye vituo vya kutolea huduma,pia Kutumia Redio Ulanga Fm 91.5kutoa elimu ya CHF iyoboreshwa kwa jamii,Kuwatumia walimu kusaidia kuingiza data za wanachama wa CHF kwenye IMIS  wakati wa likizo.

Pia imefanikiwa Kufanya mikutano ya uhamasishaji kwa vijiji 59 vya Wilaya ya Ulanga kwa kuwa tumia viongozi maarufu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.