• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

Kamati ya bunge ya Maliasili,Utalii na Ardhi yafanya ziara wilaya ya Ulanga,Kilombero na Malinyi

Imetumwa: February 6th, 2019

ULANGA

NA

Fatuma Mtemangani

Kamati ya bunge ya Maliasili Utalii na Ardhi imefanya ziara wilayani Kilombero kukagua utekelezaji wa program ya mradi wa umilikishwaji wa mradi unaowezesha,kupanga na kupima ardhi unaotekelezwa katika wilaya tatu za Kilombeo,Ulanga na Malinyi

kamati hiyo imeongozwa na mwenyekiti wake mh Nape Nnauye na pia mbunge wa jimbo la Mtama imeelezea lengo la ziara hiyo ni kutaka kuona namna program hiyo ya kuwezesha umilikishaji wa ardhi kwa wananchi vijijini unavyotekelezwa katika wilaya hizo tatu kwa muda uliopangwa.

Kamati hiyo imeridhishwa na utendaji kazi wa viongozi wanaotekeleza mradi huo ambapo walitembelea ofisi za kijiji cha Siginali wilayani Kilombero na kijiji cha Mbuga wilayani Ulanga ili kujiridhisha na kazi zinazofanywa na viongozi hao waliopewa dhamana ya kusimamia mradi huo ambapo wamejionea wananchi wakipokea Hatimiliki zao .

Mradi huo umesaidia sana kwa wilaya hizo tatu kwa kudhibiti migogoro ya mipaka ya kiutawala ya Ardhi kati ya kijiji na kijiji,wakulima na wafugaji,wafugaji na Hifadhi,wakulima kwa wakulima ambapo kwa sasa umeshapima mipaka ya vijiji 123.

Hata hivyo jumla ya mipaka 127 imepimwa ikiwemo wilaya ya Kilombero 65,Ulanga 40 na Malinyi 22 na kuandaa mipango ya matumizi ya Ardhi kwa wilaya tatu hivyo jumla ya mipango ya matumizi ya Ardhi ya vijiji 80 imeshatayarishwa hivyo kwa wilaya ya Kilombero ni 30,Ulanga 32 na Malinyi18.

Kwa upande wake mwenyekiti wa kamati hiyo mh.Nape Nauye na kamati yake wamempongeza mratibu wa mradi huo bwana Machabe kwa kazi nzuri na uaminifu alioufanya kwa kutekeleza mradi huo kwa wakati katika wilaya hizo tatu kwa .

“Hongereni sana kwa kazi nzuri mnazozifanya mpaka leo hii sisi wanakamati tumeona kazi mnazozifanya kwa wananchi na leo hii wanapatiwa hati zao hii inaonyesha ni namna gani unafanya kazi kwa ya kuwatumikia wananchi pia tumeona changamoto mnazokumbana nazo najua zitakwisha tu.Alisema mh.Nape.”

Naye waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. Willium Lukuvi alisema kuwa mradi huo umesaidia kwa kiasi kikubwa kwa mkoa wa Morogoro kwa kupima mipaka ya vijiji 123 hivyo jumla ya mipaka 103 ya vijiji katika wilaya hizo tatu ikiwemo kilombero 42,ulanga 39,na malinyi 22 imepimwa bila gharama yoyote kutoka kwa wananchi.

Aidha mh Lukuvi ameseama kuwa wizara ya ardhi imejipanga kupata fedha kiasi cha shilingi bilion 150 kutoka Wold Bank kwa ajili ya kupima mipaka ya ardhi nchi nzima nah ii itasaidia kuondoa migogoro ya Ardhi kwa nchi nzima kwa vijiji mambavyo mradi huu unatarajia kuanza kazi katika vijiji husika.

Mradi wa urasimishaji wa Ardhi nchini ni mradi wa miaka mitatu hivyo umesaidia kwa kiasi kikubwa kutatua migogoro mikubwa ya Ardhi katika wilaya ya Kilombero,Ulanga na Malinyi na wananchi wamepatiwa hati miliki zao hivyo zoezi hilo litakamilika ifikapo february mwaka huu 2019.

Mwisho.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.