• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

Idara ya Kilimo Wilayani Ulanga inatoa Elimu juu ya Kilimo bora,Umwagiliaji na Kusindika Mazao

Imetumwa: July 12th, 2018

 

ULANGA

Na

Fatuma Mtemangani

 

Idara ya Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika wilayani Ulanga ni miongoni mwa Idara zinazotoa huduma ya ushauri wa kitaalam,mafunzo kuhusu kilimo bora,Kilimo cha Umwagiliaji,hifadhi ya mazao,usindikikaji na ushirika kwa lengo la kuiwezesha jamii kupata tija katika uzalishaji wa mazao katika jamii.

 Akizungumzia utekelezaji huo afisa mazao wilayani Ulanga bwana Revocatus Ngusa alisema kuwa idara pia inasimamia utekelezaji wa miradi mbali mbali ya ujenzi wa miundombinu ya Umwagiliaji,Masoko,Maghala na kusimamia miradi ya vikundi vya uzalishaji wa Mazao ya Chakula na Biashara na Ujasiriamali katika kijiji cha Nakafulu,Idunda na Lupiro.

Hata hivyo bwana Ngusa ameongeza kuwa katika kipindi cha mwezi wa kwanza hadi wa tano Idara iliendelea kutekeleza majukumu yake kwa kutoa ushauri kwa wakulima juu ya kuzingatia kanuni bora za kilimo cha Mazao ya Chakula ikiwemo zao la Mahindi,Mpunga,Viazi Vitamu pamoja na jamii ya Mikunde,vilevile Idara imefuatilia kwa kina Mazao ya Biashara hasa Pamba,Korosho,Kahawa na Ufuta.

“Hali ya chakula kwa Wilaya ya Ulanga ni nzuri wananchi wanapata milo miwili hadi mitatu kwa siku hii ni kutokana na baadhi ya mazao kuanza kuvunwa hasa Mahindi,Mpunga na Maharage hivyo tunaendelea kutoa ushauri kwa wakulima hao waendelee kutumia vizuri chakula walichokipata na kuacha matumizi mabaya kama vile kupika pombe za nafaka,sherehe mbalimbali na kugawa vuyakula bila mpangilio kwa watu”.

“Pia Wilaya ya ulanga ni miongoni mwa wilaya ambazo tunatekeleza ulimaji wa baadhi ya mazao mkakati matano yaliyotangazwa na serikali likiwemo zao la Pamba,Kahawa,Korosho,Chai na Katani,kati ya mazao hayo wilaya ya Ulanga tunalima zao la Pamba,Korosho na Kahawa na katika msimu wa kilimo kwa mwaka 2017/2018 wilaya imehamasisha kwa kiasi kikubwa ulimaji wa mazao haya”.

Aidha Idara ya Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika imefanikiwa kutatua changamoto mbalimbali ikiwemo ununuzi wa vyombo vya usafiri kama pikipiki,mafuta ya Dizeli na Petroli kwa ajili ya maafisa ugani,Idara kwa kushirikiana na serikali kuu kusimamia upatikanaji wa pembejeo kwa wakulima kwa kuchagua mawakala wenye uwezo wa kusambaza pembejeo kwa wakulima kwa wakatina kwa bei elekezi,kuendelea kuwaelimisha wakulima kupitia maafisa ugani kilimo katika maeneo walipo.

Idara pia imeendelea kutoa elimu kwa wakulima kupitia Redio Ulanga Fm juu ya kuwatambua viwavi jeshi vamizi na njia za kuwadhibiti na kuwaangamiza.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.