• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

halmashauri ya wilaya ya Ulanga yajidhatiti katika kuongeza vyanzo vya mapato

Imetumwa: January 26th, 2021

 Na yuster Sengo

Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya ulanga  Ndg  Jonas Mallosa  amewaomba watumishi kuongeza nguvu kwenye vyanzo vya mapato ili kusaidia halmashauri kupata mapato ambayo yatawasaidia na watumishi katika utendaji wao

Hayo yamesemwa na mkurugenzi wakati wa kikao wa kikao maalum l;a baraza la wafanyakazi cha kupokea na kujadili rasimu ya mpango  na bajeti kwa mwaka 2021/2022

Ameongeza kuwa makisio ya mapato ya ndani kwa mwaka wa fedha 2021/2022 yameshuka kwa 26.16% kutoka shilingi bilion mbili milioni mia nane na sitini laki nne na thelasini na tisa kwa mwaka 2020/2021 hadi shili bilioni mbili milioni mia moja kumi na mbili na laki moja na themanini na saba kwa mwaka 2021/2022

”kiutokana na makisio hayo basi tujitahidi sana kuangalia kama kuna vyanzovipya vya kuongeza na njia bora za kukusanya mapato kwenye vyanzo tulivyonavyo “Amesa Mallosa

Akiwasilisha muhtasari wa rasimu ya bajeti  kwa niaba ya mkurugenzi mtendaji halmashauri ya  wilaya ya ulanga  kaimu afisa mipango bw deogratias lihengelimo amesema kuwa baadhi ya  sababu za kushuka kwa makisio ya mapato 2021/2022 ni pamoja na zaidi yab hekta elfu kumi na moja zilizokuwa zinalimwa kwenye eneo la pori tengefu la mto kilombero ambazo haztatumika tena katika uzalishaji

Ametaja   sababu nyingine kuwa ni kupungua kwa idadi ya mifugo na hivyo kuathiri vyanzo vya ushuru wa minada,faini za mifugo,na mapato mengene sekta ya mifugo,sambamba na kuzuiwa kwa wavuvi kuvua katika eneo la hifadhi la mto kilombero

Aidha ameongeza kuwa sababu nyingine ni kuzuiwa kwa wavuvi  kuvua katika eneo la hifadhi la mto kilombero

Hata hivyo amesema kuwa sababu nyingine ni kuondolewa kwa mapato yatokanayo na mawindo ya kitalii baada ya pori la selous kuwa hifadhi ya taifa ya nyerere

Hata hivyo halmashauri ya wilaya ya Ulanga imeanza mkakati wa kuongeza vyanzo vya mapato kwaajili ya kuongeza mapato kwenye halmashauri hiyo

Vyanzo vya mapato vilivyoongezwa ni pamoja na chanzo cha uogeshaji mifugo (josho)na kuanzisha msitu wa halmashauri ili kuweza kuongeza mapato kwa halmashauri

mwisho

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.