• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA IMETENGA SHILINGI MILIONI TISINI NA SITA NA LAKI NANE KWA AJILI YA KUVIKOPESHA VIKUNDI ZAIDI YA AROBAINI VYA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEVU

Imetumwa: April 16th, 2019

Na Yuster Sengo

Halmashauri ya wilaya ya ulanga mkoani morogoro imetenga shilingi milioni tisini na sita na laki nane kwa ajili ya kuvikopesha vikundi zaidi ya arobaini vya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu vilivyopo katika tarafa za Lupiro,Vigoi,Mwaya na Ruaha wilayani hapa.

Akithibitisha hilo afisa maendeleo ya jamii wilayani hapa Bwana Mohamed Atiki amesema wilaya ya ulanga inatekeleza sheria inayotaka kila halmashauri itenge asilimia 10 ya mapato yake ya ndani kwa ajili ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu ili kuyawezesha makundi hayo kujiinua kiuchumi na kufikia malengo.

‘’Katika utekelezaji huu wa sheria halmashauri imeweka mikakati mbalimbali ya kuhakikisha inatoa mikopo hiyo kwa mujibu wa sheria,kwa maana katika utekelezaji wa bajeti yetu katika mwaka huu tunaoendelea nao halmashauri imeweza kutenga jumla ya shilingi milioni 96.8 kwa ajili ya kuviwezesha vikundi vya wajasiliamali wanawake, vijana, na watu wenye ulemavu’’alisema Bwana Atiki.

Aidha Bwana Atiki amesema kuwa katika kuhakikisha vikundi vyote 48 vitakavyopatiwa mikopo katika mwaka huu wa fedha ofisi yake ya maendeleo ya jamii inaendesha mafunzo kwa vikundi vyote ili viweze kutambua matumizi sahihi ya fedha na kuzitumia kwa malengo yaliyokusudiwa.

Mikopo hiyo ambayo inatolewa bila riba inalenga kuviwezesha vikundi mbalimbali vinavyojishughulisha na shughuli mbalimbali za kiuchumi na zenye tija ili viweze kutimiza azma ya serikali ya kufikia uchumi wa kati unaotegemea viwanda ifikapo mwaka 2025.

‘’Leo hii kama unavyotuona ndio tupo katika mafunzo tukianzia tarafa ambayo inajumla ya vikundi 11 kwa ajili ya kuviwezesha mkopo huo na baada ya vigoi tunatarajia kwenda tarafa za lupiro na mwaya’’ alisema Atiki

‘’Faida walizonazo hawa wanavikundi fedha hizi hazina riba kwaiyo ni fedha ambazo tunategemea zitakwenda kuwasaidia vizuri katika uendelezaji wa biashara zao’’ alisema Atiki.

kwa upande wake Bi Sigrinda Mdemu ambaye pia ni afisa kutoka ofisi ya maendeleo ya jamii wilayani hapa amewataka wanavikundi hao kuzitumia fedha walizoomba kwa malengo ili waweze kuzirudisha na kuiwezesha halmashauri kukopesha vikundi vingine kwa mwaka wa fedha unaofuata.

tayari vikundi kutoka tarafa ya Lupiro na Vigoi vimepatiwa mafunzo na fedha zao tayari zimeingia kwenye akaunti huku vikundi vya tarafa ya Mwaya vikitakiwa kujiandaa na zoezi hilo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.