• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

Elimu juu ya ufuatiliaji wa matumizi ya rasilimali

Imetumwa: September 6th, 2018

Na   Alanus Matambalira

Taasisi ya kijogoo group community wilayani ulanga mkoani morogoro imefanikiwa kutoa  elimu  juu ya ufuatiliaji wa matumizi ya  rasilimali za uma  katika vijiji  zaidi ya 12 hadi sasa .

Katika utoaji wa elimu hiyo  pia  imehudhuriwa na viongozi mbalimbali ngazi ya vijiji pamoja na  waratibu wa elimu  ngazi ya kata  ambao wote kwa pamoja wameishukuru taasis hiyo  kwa elimu wanayoitoa kwa jamii  kwa kuwajengea uwezo  wa kuhoji mambo mbalimbali  katika jamii zao

 akizungumza katika mkutano wa dharura uliofanyika katika kijiji cha chikuti, msogezi  , makanga , kisewe,  msogezi  isaka na mdindo mwezeshaji wa mafunzo hayo Bwana Angelus Runji    amesema kuwa taasis hiyo ni taasisi ya kijamiii  na haifungamani  wala kuwa na itikadi na siasa, ambapo pia ameongeza kuwa  swala la mwananchi kufahamu  mambo mbalimbali ya nayoendelea katika jamii yake ni haki yake  ikiwemo taarifa ya mapato na matumizi.

Aidha  Bwana Runji  amefafanua kuwa toka mwaka 2017 taasisi ya kijogoo groop  imekuwa ikitoa elimu hasa katika maeneo  makuu matatu  ndani

 ya utawala bora ambapo  swala la utawala bora  ameitolea mfano nchi ya tanzania   kuwa   na misingi  ya kidemokrasia  huku akionya kuwa  taasisi hiyo  haifungamani wala kuwa na itikadi na siasa .

           “tunapozungumzia swala la rasilimali za uma ni  sio rasilimali ya mimi kama kiongozi  sio rasilimali ya yule kama  mwananchi , ni rasimali za sisi sote  hiyo ndiyo rasilimali ya umma   alisema mwezeshaji huyo wa mafunzo”

Hata hivyo mkurugenzi wa jkijogoo groop Bwana Ramadhani Omari  amesema kuwa  wao kama taasisi  wanahusika  kuwahamasissha  wananchi  na jamii kwa ujumla   kufuatilia mambo malimbalimbali  kwa kuhoji na kuchukua hatua  juu ya rasilimali  za umma.

Bw  Ramadhani amezitaja rasilimali za umma  kuwa ni  rasilimali  fedha , rasilimali  watu .hivyo kwa awamu hiyo  ameeleza kuwa  wanaangazia hasa  sekta ya elimu  msingi  na kutoa wito kwa wananchi kuendelea kujitolea michango mbalimbali ili kufanikisha kulisongesha mbele gurudumu la maendeleo mashuleni.

Katika mikutano hiyo  wananchi  pia wamepata nafasi ya  kuhoji  na kuuliza maswali mbalimbali  kwa lengo la kujengewa uwezo zaidi  katika maswala ya ufuatiliaji na elimu hiyo ni endelevu katika vijiji vingine  ndani ya wilaya ya ulanga

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.