• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

CHAMA CHA WANASHERIA WANAWAKE TANZANIA

Imetumwa: May 21st, 2018

ULANGA

 NA   YUSTER SENGO

Chama cha wanasheria wanawakeTanzania wameitaka jamii kushirikisha wanawake katika maamuzi na umiliki wa ardhi ili waweze kujikwamua kiuchumi

Hatua hiyi imekuja mara baada ya kubainishwa kuwa kundi la wanawake limekua ni wahanga wakubwa wanaowekwa mbali katika kumiliki ardhi na badala yake wanaume ndio wanaopewa kipaumbele hicho katika jamii mbalmbali

Akizungumza katika kikao kilichofanyika katika ukumbi wa halmashari wa wilaya ya ulanga ,mratibu wa mradi waurasimishaji ardhi Bi.Maria Mruma amesema kuwa mradi huu umetelekezwa katika wilaya mbili ambazo ni kilombero na ulanga,na katika wilaya ya ulanga tayari wameshatembelea vijiji kumi kwaajili ya kutoa elimu

Vijiji walivyotembelea ni pamoja na Iputi,mbuga,chilombora,chikuti,nalukoo,ketaketa ,ibuyi pamoja na igota na kufanikiwa kutoa elimu juu ya haki na wajibu kwenye umiliki wa ardhi ili kuongeza ushiriki mpana wa wananchi kwenye program ya upimaji na urasimishaji ardhi

Aidha Bi Mruma , amesema kuwa wanatarajia kuanzisha sheria ndogo za kijiji zinazoangalia jinsia hususani wanawake ili waweze kupewa kipaumbele katika umiliki wa ardhi kwani ni kundi linaloachwa nyuma katika suala hili

“katika vijiji tulivyopita wanawake wengi hawajihusishi kabisa katika vikao vinavyohusu mambo ya ardhi na sehemu nyingine unakuta wanawake wamekaa nje wnaendelea na shughuli nyingine ukiwauliza kwanini hawaendi kuhudhuria kikao wnasema mambo ya ardhi yanawahusu wanaume”Amesema Bi Mruma

Aidha ameongeza kuwa katika vijiji walivyopitia wametoa elimu ya sheria ya ndoa kwani wamegundua jamii walizotembelea hawana uelewa mkubwa katika sheria hiyo

”tumefundisha pia kuhusu sheria ya ndoa kwani tumeona wanawake wanadhurumiwa haki zao kwakutokujua sheria,mke na mume wakiamua kuachana mali walizochuma wakiwa pamoja inapaswa zigawanyishwe sawasawa lakini kwa sasa utakuta wakiachana mwanamke anatoka bila kitu na hii ni kwasababu yakutojua sheri na haki yake kama mwana ndoa”

Hata hivyo Bi.Mruma ameongeza kuwa ni vizuri jami kwa ujumla ikafanya jitihada ya kumshirikisha mwanamke kumiliki ardhi iwe kwa kununua yeye mwenyewe,kurithi kutoka kwa wazazi au hata kurithi kutoka kwa mume.

MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.