• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

Benki ya NMB yatoa mchango wa shilingi milioni kumi kwaajili ya sekta ya afya na elimu wilayani ulanga

Imetumwa: February 20th, 2020

Na.Yuster Sengo

Benki ya NMB imetoa vifaa vya ujenzi vyenye thamani ya shilingi milioni kumi ili kuunga mkono juhudi za rais wa jamhuri y muungano wa tanzania katika kuileta nchi maendeleo kwenye sekta mbalimbali.

Akizungumza wakati wa kukabidhi vifaa hivyo meneja wa nmb kanda bwana Baraka Ladislaus ameseama kuwa Beni ya NMB inatambua mchango wa serikali kwenye sekta ya elimu kwa akutoa elimu bure na kuboresha sekt ya elimu hivyo wao kama wadau wanaunga mkono juhudi hizo za serikali

”Tunaunga mkono juhudi za serikali kwa kuunga mkono shughuli za kuleta maendeleo kwa kuchangia mambo mbalimbali yanayohitajik kwenye jamii”amesema Ladislaus

Bw ladislaus ameseama kuwa benki hiyo imetoa vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni kumi vikiwemo mabati 130 na mbao 105 kwenye zahanati gereza la mahenge na kwa upande wa shule ya selina kombani amesema kuwa wametoa mabati 165.

“Tulipata maombi kutoka kwa mkuu wa wialaya ya ulanga Mh.Ngollo Malenya kuchangia vifaa vya ujenzi vya zahanati ya gereza la ulanga na shule ya selina kombani ambapo leo tunakabidhi mchango wetu rasmi ,mchango huo ni wa mabati 130 na mbao 105 kwa zahanati ya magereza na mabati 165 ya shule ya sekondari selina kombni “ameongza Ladislaus

Hata hivyo meneja huyo amesema kuwa anashuuru kwa kutambuliwa kama wadau wanaoweza kuchangia maendeleo ndani ya wilaya ya ulanga na maeneo mengine kwani benk yao kwa mwaka 20202 imetenga bajeti ya zaidi ya shilingi bilioni moja zitakazosaidia kwenye sekta za afya na elimu

“Benki ya NMB tumeamua kujikita katika kutoa michango yetu kwenye sekta ya elimu na afya ili jamii ya watanzania iweze kufaidika na faida kidogo tunayoipata kwenye biashara yetu”amesema ladislaus

naye mkuu wa wilaya ya ulanga Ngolo Malenya ameishukuru benki hiyo kwa msaada huo kwani imekuwa ni benki ya mfano wa kuigwa kwenye kuchangia sekta za elimu na afya na kusema kuwa wananchi sasa wanaona umuhimu wa benki hiyo kama wateja kwa kuwajali

“Pia naomba benki ya NMB mje kuwaelimisha watumishi kuhusu mikopo mbali mbali mnayotoa hususani mkopo wa ujenzi wa nyumba ili nao waweze kunufaika zaidi kupitia mikopo hiyo na waweze kujenga nyumba zao”amesema Malenya

Malenya amesema kuwa kwa sasa anaamini hakuna watotot watakaobanana tena kwenye shule ya selina kombani kwani mabati yaliyotolewa yatasaidia kupongeza vyumba vya madarasa kwenye shule hiyo

mwisho

Na.Yuster Sengo

Benki ya NMB imetoa vifaa vya ujenzi vyenye thamani ya shilingi milioni kumi ili kuunga mkono juhudi za rais wa jamhuri y muungano wa tanzania katika kuileta nchi maendeleo kwenye sekta mbalimbali.

Akizungumza wakati wa kukabidhi vifaa hivyo meneja wa nmb kanda bwana Baraka Ladislaus ameseama kuwa Beni ya NMB inatambua mchango wa serikali kwenye sekta ya elimu kwa akutoa elimu bure na kuboresha sekt ya elimu hivyo wao kama wadau wanaunga mkono juhudi hizo za serikali

”Tunaunga mkono juhudi za serikali kwa kuunga mkono shughuli za kuleta maendeleo kwa kuchangia mambo mbalimbali yanayohitajik kwenye jamii”amesema Ladislaus

Bw ladislaus ameseama kuwa benki hiyo imetoa vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni kumi vikiwemo mabati 130 na mbao 105 kwenye zahanati gereza la mahenge na kwa upande wa shule ya selina kombani amesema kuwa wametoa mabati 165.

“Tulipata maombi kutoka kwa mkuu wa wialaya ya ulanga Mh.Ngollo Malenya kuchangia vifaa vya ujenzi vya zahanati ya gereza la ulanga na shule ya selina kombani ambapo leo tunakabidhi mchango wetu rasmi ,mchango huo ni wa mabati 130 na mbao 105 kwa zahanati ya magereza na mabati 165 ya shule ya sekondari selina kombni “ameongza Ladislaus

Hata hivyo meneja huyo amesema kuwa anashuuru kwa kutambuliwa kama wadau wanaoweza kuchangia maendeleo ndani ya wilaya ya ulanga na maeneo mengine kwani benk yao kwa mwaka 20202 imetenga bajeti ya zaidi ya shilingi bilioni moja zitakazosaidia kwenye sekta za afya na elimu

“Benki ya NMB tumeamua kujikita katika kutoa michango yetu kwenye sekta ya elimu na afya ili jamii ya watanzania iweze kufaidika na faida kidogo tunayoipata kwenye biashara yetu”amesema ladislaus

naye mkuu wa wilaya ya ulanga Ngolo Malenya ameishukuru benki hiyo kwa msaada huo kwani imekuwa ni benki ya mfano wa kuigwa kwenye kuchangia sekta za elimu na afya na kusema kuwa wananchi sasa wanaona umuhimu wa benki hiyo kama wateja kwa kuwajali

“Pia naomba benki ya NMB mje kuwaelimisha watumishi kuhusu mikopo mbali mbali mnayotoa hususani mkopo wa ujenzi wa nyumba ili nao waweze kunufaika zaidi kupitia mikopo hiyo na waweze kujenga nyumba zao”amesema Malenya

Malenya amesema kuwa kwa sasa anaamini hakuna watotot watakaobanana tena kwenye shule ya selina kombani kwani mabati yaliyotolewa yatasaidia kupongeza vyumba vya madarasa kwenye shule hiyo

mwisho

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.