• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

waziri kalemani ahaidi umeme katika migodi ya Epanko

Imetumwa: February 24th, 2021

Na Yuster Sengo

Waziri wa Nishati Mheshimiwa Dk Merdad Kalemani ameitaka Tanesco wilayani Ulanga kufikisha umeme katika migodi ya Epanko ili kuwasaidia wachimbaji wa mgodi huo kuchimba kwa tija na kupata faida itakayowawezesha kulipa kodi kwa serikali na waweze kujiinua kiuchumi

Hayo ameyasema tarehe 23 february 2021 wakati wa ziara yake ya siku moja katika wilaya ya Ulanga ya kutembelea migodi ya Epanko na kuangalia jinsi ya kufikisha miundombinu ya umeme katika Kijiji hicho cha Epanko

“Meneja wa Tanesco wa Wilaya , wiki ijayo muanze kupeleka umeme katika migodi hiyo , utamwambia Meneja wako wa mkoa ambaye tupo naye hapa akupe shilingi milioni mia nne kwaajili ya kupeleka umeme huku migodini “Amesema Mh kalemani

Aidha ameongeza kuwa kwa kufikisha umeme katika migodi hiyo ya Epanko kutasaidia kuweza kupata kodi ya serikali kwani kwa mwezi migodi hiyo inauwezo wa kukusanya shilingi miliomi tano ambapo ndani ya miezi michache tu inaweza kupatikana shilingi milioni mia nne ambayo ilitumika kwaajili ya kupeleka umeme

“ kwanza nashangaa kwanini tulikiuwa hatujaleta umeme kwakuwa hawa wachimbaji tukiwafungia umeme kwa mwezi tunaweza kupata shilingi milioni tano ambapo ndani ya mwezi mmoja tunarudisha milioni mia nne tuliyoiwekeza hapo”Amesema Mh Kalemani

Hata hivyo amemtaka mkuu wa wilaya ya Ulanga Mh.Ngollo Malenya kuchukua hatua pale atakapo ona kuwa kazi hiyo ya kupeleke umeme ina rega rega

“Mkuu wa wilaya ukiona kazi ina rega rega kamata meneja wa Tanesco wa wilaya weka ndani,na huyu wa mkoan nita shughulika nae mimi,pia kamata kandarasi weka ndani naamini REA wanaingia ubia na suma JKT kwahiyo kazi itaenda kwa kasi na kukamilika kwa wakati”Ameongeza waziri wa Nishati Mh Merdad Kalemani

Aidha ameagiza vijiji vyote vilivyofikiwa na miundombinu ya umeme vilipie ili viunganishiwe umeme kwa haraka na kuanza kufaidi matunda ya serikzli ya awamu ya Tano

Kwa upande wa mbunge wa Ulanga Mh,Salim Alaudin Hasham amesema kuwa anaishukuru seriklai kwa kujipanga kufikisha umeme kwenye vitongoji vyote na pia amemshukuru Mh.Medrd Kalemani kufika katika eneo hilo la migodi ya epenko kwaajili ya kuangalia uhitaji wa umeme katika eneo hilp

‘Mimi nimshukuru sana Waziri wa Nishati kwa kufika hapa ,lengo ilikuwa ni kufika migodini kuangalia shughuli tunazofanya lakini kuokana na hali ya hewa pamoja ni barabara kutokupitika kwaajili ya mvua zinazo endelea kunyesha  ameshindwa kufika huko lakini ameahidi kuleta umeme katika eneo hilo la Epanko”Amesema Mh.Mbunge wa Wilaya ya Ulanga

“Nimshukuru pia Mh.Rais kwakuhakikisha kuwa nchi yetu inapata maendeleo,na ninafahamu kuwa serikali imejipanga kuwa vitongoji vyote Tanzania nzima vinaenda kupata umeme kwani kuna vilio vingi vya umeme kufika barabarani na huko ndani ndani unakuwa haujafika “Ameongeza Mh.Salim

Akizungumza kwa niaba ya wachimbaji ,Bw Joseph Mpandule amemshukuru Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli kwa kuwa namba moja ya chachu ya maendeleo hasa vijijini

Mwisho

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.