• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

Uzinduzi CHF Iliyoboreshwa Kaya kwa Kaya

Imetumwa: August 10th, 2017

Zaidi ya kaya 50 zimejiunga na mfuko wa bima ya afya ya Jamii (CHF) iliyoboreshwa katika uzinduzi wa zoezi la uandikishaji wa kaya kwa kaya uliofanyika  katika kata ya Minepa wilayani Ulanga.

Hayo yalisemwa na Meneja (CHF) wilaya Bi Sigirinda Mdemu wakati wa ufunguzi wa kampeni ya uhamasishaji kaya kwa kaya kwa mwaka 2017 ambapo alisema kuwa lengo la kampeni hiyo ni kuongeza idadi ya wanachama hadi kufikia asilimia 80  ambayo ni lengo lililokusudiwa.

Aidha katika uzinduzi huo  pia walishiriki viongozi mbalimbali wa serikali wakiwemo  watendaji wa vijiji, wenyeviti wa vijiji na vitongoji ambao kwa pamoja waliadhimia kufanya kazi hiyo kwa kushirikiana na maafisa waandikishaji katika maeneo yao.

Hata hivyo baadhi ya wananchi walihoji juu ya upatikanaji wa dawa katika vituo vya afya vya serikali ikiwemo zahanati na hospitali za wilaya na kuongeza kuwa hali hiyo imekuwa ikiwakatisha tamaa ya kujiunga na huduma hiyo.

Akitoa ufafanuzi Dkt. Nataria  Mtolela ambaye ni dakatri mshauri wa mradi humo ameeleza kuwa kwa sasa dawa aina nyingi zinapatikana katika  vituo vya kutolea huduma za afya tofauti na zamani sababu maboresho mengi yamefanyika kuhakikisha madawa yanapatikana kwa wanachama wote

Vilevile Dkt. Mtolela alitoa wito kwa wananchi kujiunga na bima hiyo ili kupunguza gharama za matibabu na kwasasa wananchama wote waliojiunga watapata huduma katika mkoa wa Dodoma, Morogoro na Shinyanga tofauti na awali ambapo mwanachama alikuwa akihudumiwa sehemu aliyojiunga tu.

Chf iliyoboreshwa imezindua kampeni ya uandikishaji wa wanachama wapya kwa kupita kaya kwa kaya ili kuhakikisha wananchi wote wanajiunga na wanapata huduma bora za afya kwa gharama ya Tshs. 10,000 kwa mwaka mzima kwa wanafamilia sita.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.