• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

Msaada kutoka Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania TAWLA

Imetumwa: June 11th, 2018

ULANGA

Na

Fatuma Mtemangani

Chama cha Wana Sheria WanawakeTtanzania(TAWLA)kimetoa msaada wa usafiri aina ya baiskeli thelathini kwa wasaidizi wa Sheria katika Vijiji kumi ili waweze kuwafikia wananchi kwa urahisi.

Akizungumza baada ya kukabidhi baiskeli hizo kwa wasaidizi hao kaimu mkuu wa Wilaya ambae ni Afisa Tawala Wilayani Ulanga Bi Hulka Hamisi amewashukuru TAWLA kwa msaada huo kutokana na baadhi ya wananchi Wilayani Ulanga kutojua sheria hasa juu ya haki na wajibu katika umilikishwaji wa ardhi.

Hata hivyo Bi hulka  amewataka wanasheria wasaidizi kutunza vyombo hivyo vya usafiri ili viweze kuwasaidia katika vijiji vyao kwa kufanya kazi kwa moyo,kujituma na kushirikiana kwa kutoa  elimu kwa jamii ili kupunguza migogoro ya ardhi ndani ya wilaya ya ulanga.

kwa upande wao wanasheria wasaidizi wamewashukuru TAWLA kwa kuwapatia usafiri kwani utawarahisishia utendaji kazi katika vjiji vyao kwa kuifikia jamii kwa wakati hivyo wanaahidi kufaya kazi kwa weledi na kujituma ili kufikisha elimu waliyoipata kwa kutatua migogoro ya ardhi kwa ngazi ya kijiji,kata na tarafa. 

Pia wameahidi kushirikiana na viongozi wa Vijiji,Kata na Tarafa kwa kupitia mikutano yao kutoa elimu juu ya haki na wajibu katika umilikishwaji na urasimishaji wa ardhi kwa wanawake Wilayani Ulanga kwani kwa kufanya hivyo itaondoa ile dhana ya kubaguliwa kwa mtoto wa kike kwa kutomilikishwa ardhi.

Mradi wa uhamasishaji wa wananchi juu ya haki na wajibu kwenye umilikishwaji wa ardhi,upimaji na urasimishaji ardhi uko Mkoani Morogoro katika Wilaya mbili ambazo ni Kilombero na Ulanga,na kwa Wilaya ya Ulanga mradi huo upo katika kijiji cha Igota,Chikuti,Ketaketa,Iragua,Mbuga,Chilombora,Iputi,Nkongo,Mdindo pamoja na Ebuyu ni vijiji ambavyo wanasheria wasaidizi wamepatiwa mafunzo.

Mwisho.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.