• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

Mkuu wa wilaya ya Ulanga amewataka watendaji kata wa Iragua kuwapiga faini wasiojitokeza kwenye majitoleo

Imetumwa: June 30th, 2019

Na .Yuster Sengo

Mkuu wa wa wilaya ya Ulanga Ngollo Malenya amewataka watendaji wa kata ya Iragua kuwa wakali kwa wananchi wa kata hiyo ambao hawashiriki katika majitoleo na ikiwezekana wawatoze faini ili waweze kukujitokeza wanapohitajika kwaajli ya majitoleo

Kauli hiyo imekuja mara baada ya Mkuu wa wilaya kuambiwa na watendaji wa kata hiyo kuwa muamko wa kufanya majitoleo umekuwa haupo na wananchi hawajitokezi kabisa pamoja na kwamba wanapewa taarifa mapema kuhusu majitoleo

Aidha mkuu wa wilaya ameongeza kuwa kwa wananchi wasiojiyokeza wapigwe faini kwani kusipofanyika chochote inawavunja moyo na wengine wanaojitokeza kwenye majitoleo

“Muwapige faini wale wote wanao kaidi kufanya majitoleo,msikae kimya tu na kuwangalia kwani mkifanya hivyo inawavunja moyo na wengine wanao jitahidi kufanya majitoleo”Amesema Ngollo

Kutokana na hali hiyo ya kusuasua ya majitoleo , mkuu wa wilaya alitaka kujua ni lini majengo hayo yatakamilika ili yaanze kutumika na wanafunzi

Akijibu swali hilo fundi mkuu Killian Mandaki amesema kuwa kama kutakuwa na ushirikiano wa kutosha kutoka kwa wananhi na vifaa vyote vikafika kwa wakati majengo hayo yatamalizika na kukabidhiwa baada ya wiki tatu

“Mimi ninanguvu kazi ya kutosha ,kama wananchi watafanya majukumu yao ya kujitolea kwa wakati na nikapata vifaa vyote kwa wakati,basi naahidi kukabidhi majengo haya baada ya wiki tatu tu”Ameongeza fundi mkuu Mandaki.

Hata hivyo mkuu wa wilaya Ngollo Malenya amesema kuwa serikali ya awamu ya tano inaleta pesa za kujenga madarasa na kumalizia maboma ili kutoa huduma bora kwa wananchi hivyo ni jukumu letu kufanya majitoleo ili miradi hiyo imalizike na ianze kutumika kwa wakati

Aidha amesisitiza suala la chakula mashuleni na kusema kuwa shule zote zitoe chakula kwa wanafunzi ili kuweza kuongeza ufaulu mashuleni.

“Suala la chakula mashuleni halina mjadala,watoto hawa wanatakiwa kupata chakula wanapokuwa shuleni hivyo ni jukumu letu kulisimamia hilo ili watoto wapate chakula “Amesema Mkuu wa Wilaya ya Ulanga Ngollo Malenya

Hata hivyo Mkuu wa Wilaya huyo amesema kuwa atapita tena katika kata ya Iragua baada ya wiki hizo tatu ili kujihakikishia kama jingo hilo limeisha na kwa kiwango kinachotakiwa kama alivyo ahidi fundi mkuu anayesimamia ujenzi wa madarasa hayo

mwisho

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.