• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

mkuu wa mkoa wa morogoro awataka wakazi wa Ulanga kulinda miundombinu

Imetumwa: January 10th, 2019

Na yuster sengo

Mkuu wa mkoa wa morogoro Dkt KEBWE STEVEN KEBWE amewataka wananchi mkoani humo kuilinda miundombinu iliyopo ili kuunga mkono jitihada za mh rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania Dkt JOHN  POMBE MAGUFULI za kuleta maendeleo nchini.

Akuzungumza katika kikao maalum cha baraza la madiwani kilichofanyika katika ukumbi wa halmashauri wa pauline wilayani ulanga Dkt KEBWE amesema kuna changamoto ya baadhi ya wananchi wasio waadilifu kuhujumu miundombinu ikiwemo ya barabara na kuwataka wananchi kuacha tabia hiyo.

Hata hivyo Dkt KEBWE amemwagiza mkuu wa wilaya ya ulanga Bi NGOLLO MALENYA akishirikiana na kamati ya ulinzi na usalama wilayani hapa kuwakamata na kuwachukulia hatua wale wote watakaobainika kuhujumu miundombinu ya daraja la magufuli lililopo katika kijiji cha kivukoni ili iwe fundisho kwa wengine.

“Miundombinu hii ni sisi wote kuilinda, lipo hilo tatizo katika mkoa wa morogoro. tushirikiane kuilinda miundombinu hii inatusaidia sana”. Dkt KEBWE

Dkt KEBWE aliendelea kueleza kuwa “lakini wapo wengine wanahujumu kwa maksudi, sidhani mtu na akili yake timamu anaweza kwenda kunyofoa hizo nati mchezo huu wa kilevi levi huu wameanza kufungua taa kwaiyo tusaidiane kwa njia hiyo, hatuwezi kuwa na polisi kila sehemu tushirikishe mifumo yetu ulinzi shirikishi lakini pia wananchi wapo, mgambo wapo tusaidiane kulinda miundombinu hii” dkt KEBWE.

Katika hatua nyingine Dkt KEBWE steven kebwe amekemea tabia ya baadhi ya wanasiasa wanaotumia siasa kuhamasisha wananchi kuhujumu miundombinu iliyopo ambapo amwagiza mkuu wa wilaya ya ulanga bi ngollo malenya kuwafatilia watu hao na kuwachukulia hatua stahiki kwa mujibu wa sheria.

Amesema kitendo cha baadhi ya wanasiasa kukaa vikao na kujadili mikakati ya kuhujumu miundombinu ni kupoteza muda kwani hawata fanikiwa na badala yake watakumbana na nguvu ya dora na kuchukuliwa hatua huku serikali ikiendelea kujenga nchi kwa manufaa ya tanzania nzima.

“Hujuma za namna hiyo ambazo zipo organized crime( mipango ya hujuma) kwamba ngoja tujipange bhana tuhujumu mradi huu kwaiyo kila mtu anaingia kwa staili yake wanapoteza muda tu”

Katika kikao hicho maalumu cha baraza la madiwani wa halmashauri ya wilaya ya ulanga kilichoitishwa na mkuu wa mkoa wa morogoro kimehudhuriwa na waheshimiwa madiwani wa kata zote 21 za wilaya, kamati ya ulinzi na usalama, vyombo vya habari na vyama vya siasa huku ajenda kuu ikiwa ni mkuu wa mkoa kuwasilisha taarifa ya uchunguzi wa ubadhilifu wa fedha kiasi cha zaidi ya shilingi bilioni 2 ikiwa ni utekelezaji wa maagiza kutoka tamisemi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.