• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

Majaliwa awasimamisha kazi watumishi nane Ulanga

Imetumwa: September 17th, 2019

Na.Yuster Sengo

Waziri mkuu wa jamuhuri ya muungano wa tanzania mh. kasim majaliwa ameagiza kusimamishwa kazi na kufikishwa mahakamani watumishi nane wa halmashauri ya wilaya ya ulanga kufuatia tuhuma za ubadhilifu wa fedha zaidi ya shilingi bilion moja

Wazirimkuu amechukua uamuzi huo septemba 16 mwaka huu alipotembelea wilayani ulanga mkoani morogoro ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake mkoani morogoro ikiwa na lengo la kukagua miradi ya maendeleo.

Akizungumza katika kikao cha watumishi wa halmashauri wa wilaya ya ulanga mh. majaliwa amesema kuwa watumishi hao wanaotuhumiwa kwa ubadhilifu warudishwe wilayani na kufikishwa mahakamani pia amewataka watumishi wa halmashauri ya wilaya ya ulanga kuacha kujiamulia kutumia fedha ya serikali iliyotengwa kwaajili ya miradi ya maendeleo hali inayochafua watumishi wengine na halmashauri kiujumla

“kuna baadhi ya watu katika halmashauri ambao siyo waaminifu lakini pia nimebaini wapo wengi tu miongoni mwenu ambao ni waadilifu katika utendaji,sasa hawa wachache wanaharibu sifa ya halmashauri hii”amesema waziri mkuu

Aidha waziri mkuu amesema kuwa watumishi hao nane ndio waliosababisha upotevu wa shilingi bilioni 1.14 ambazo zilitumika nje ya utaratibu

Waziri mkuu amewataja watumishi hao kuwa ni aliyekua mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya ulanga Yusufu Semguruka,Rajabu Siriwa ambaye alikua mweka hazina wa halmashauri,Stanley Godwill aliyekua mkusanyaji mapato na Evans Mattilya ambaye alikua ni muhasibu

Wengine ni Isack Mwansankope na Johnson Mwanyobole ambao ni wahasibu ,Said Majaliwa ambaye ni mtaalam wa mifumo na Charles Eman ambao wote ni watumishi wa halmashauri hiyo

Aidha ameongeza kuwa atatuma timu kutoka tamisemi kwa ajili ya kuwafungulia mashtaka ili kukwepa kufunguliwa mashitaka mepesi na kuonekana suala hili ni la mchezo

Wakati huo huo waziri mkuu ameagiza kupewa ukuu wa idara kwa aliyekuwa kaimu mkaguzi wa ndani bw, Agusta mwaria ambaye pia alifanikisha kugundulika kwa upotevu wa fedha hizo ambazo ni zaidi ya shilingi bilioni moja za halmashauri ya wilaya ya ulanga .

Mara baada ya kuongea na watumishi wa halmashauri ya Ulanga ,waziri mkuu alihutubia mkutano wa hadhara na kusikiliza kero za wananchi huku akimsifia mkuu wa mkoa wa Morogoro Dkt Kebwe Stephen Kebwe kwa kuimarisha mfuko wa bima ya Afya ulioboreshwa CHF kwakuweka utaratibu wa kila kaya yenye jumla ya watu sita kulipia shilingi elfu Thelathini hivyo kuwawezesha kutibiwa popote ndani ya mkoa

Ziara ya waziri mkuu bado inaendelea katika mkoa wa Morogoro ambapo tarehe 17 atakua katika wilaya ya Kilosa na baadae ataelekea katika halmashauri ya wilaya ya Morogoro

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.