• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

Mafunzo ya Mradi wa Uimarishaji Mifumo ya Sekta za Umma Tanzania

Imetumwa: March 21st, 2018

Mafunzo ya Mradi wa Uimarishaji Mifumo ya Sekta za Umma Tanzania kwa Maafisa Habari,Maafisa Tehama yameanza hapo jana Mkoani Morogoro katika ukumbi wa Edema Hotel huku ikijumuisha mikoa mitano ikiwemo mkoa wa Tanga,Dododma,Arusha,Manyara pamoja na Morogoro,na yanatarajia kumalizika tarehe 23/03/2018.

Mkurugenzi msaidizi habari maelezo ambaye ni mgeni rasmi katika mafunzo hayo ndugu Rodney Thadeus amesema kuwa Maafisa habari na Maafisa Tehama wa Halmashauri mbalimbali hapa nchini wanatakiwa kutoa habari zenye uhakika ambazo hazitamchosha msomaji.

Ndugu Rodney Thadeus amesema kua Maafisa Habari wamebeba dhamana kubwa kwa Serikali hivyo wanatakiwa kutoa taarifa sahihi katika Halmashauri husika ili kuondoa usumbufu kwa wananchi juu ya kupata habari za Halmashauri zao.

“Ili kuboresha maendeleo ndani ya Halmashauri na kuisaidia nchi yetu iweze kusonga mbele na wananchi wapate taarifa za Halmashauri kwa wakati Maafisa Habari unapaswa kumshauri Mkurugenzi Mtendaji wako katika swala la maendeleo kupitia miradi yote ya Halmashauri”alisema ,mkurugenzi msaidizi Thadeus.

Hata hivyo Maafisa Habari na Maafisa Tehama wanapaswa kumshauri mkurugenzi wao katika swala la utekeiezaji wa miradi yote maendeleo iliyo ndani ya Halmashauri na pia kutumia njia ya mitandao,vyombo mbali mbali vya habari ikiwemo Redio,Magazeti,Majalida,Luninga,Mbao za Matangazo ya Halmashauri katika ngazi ya kata na kijiji,sokoni,Viwanja vya Mpira pamoja na “Kijiweni” ili kufikisha taarifa kwa haraka zaidi.

Lengo ni kuboresha Tovuti za Halmashauri kwa kuwapatia wananchi matukio mbalimbali,shughuli za maendeleo wanazopaswa kushiriki na utekelezaji wa miradi ya maendeleo

Mwisho.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.