• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

halmashauri ya wilaya ya Ulanga yajipanga kukusanya zaidi ya shilingi bilioni 28 kwa mwaka wa fedha 2019/2020

Imetumwa: February 27th, 2020

Na.Yuster Sengo

Halmashauri ya wilaya ya Ulanga imepanga kukusanya zaidi ya shilingi bilioni 28(28,434,490,700.00) katika kipindi cha mwaka wa fedha 2019 -2020 hii ikiwa ni mapato ya ndani ya halmashauri ambapo hadi kufikia desemba 31 2019 halmashauri ilikua imekusanya zaidi ya shilingi bilioni moja(1,471,405,012.99) sawa na asilimia 59 ya makusanyo kwa mwaka

Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa halmashauuri ya wilaya ya Ulanga Mh.Nassoro kihiyo wakati akisoma hotuba ya ufunguzi wa kikao cha baraza la madiwani kilichofanyika tarehe 26 february 2020 katika ukumbi wa halmashauri hiyo Pauline hall

Aidha ameongeza kuwa kwa robo ya pili inayoishia December 31, halmashauri ya wilaya ya Ulanga imekusanya zaidi ya shilingi milioni miatano (500,060,997.00) sawa na asilimia 80.36 ya lengo la makusanyo kwa robo ya pili

Hata hivyo ameongeza mapato ya ndani ya halmashauri yanaendelea kushuka kwasababu mbali mbali ikwemo kufungwa kwa mageti pamoja na kuisha kwa msimu wa baadhi ya mazao ikiwemo ufuta na mpunga na pia mafuriko kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha

Akiendelea kusoma hotuba hiyo Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Ulanga Mh. Nassoro kihiyo amesema kuwa halmashauri ya wilaya ya ulanga imekumbwa na mafuriko kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha ambapo mafuriko hayo yamesababisha madhara katika makazi ya watu ambapo hadi kufikia tarehe 31 january nyumba zipatazo 32 zimezingirwa na maji , miundombinu ya barabara imeharibika na hekali zaidi ya elfu tatu za mazao ya mahindi ,mpunga na ufuta zimeathiriwa

Kutokana na hali hiyo Mh. Nassoro amewataka madiwani pamoja na wajumbe wa kikao hicho kuendelea kuwashauri wananchi kupanda mazao ya mizizi hususani mihogo pamoja na kulima mazao ya mahindi kwenye maeneo ya miinuko na mpunga kwenye maeneo ya bondeni

Aidha amewata madiwani pamoja na wataalamu kuongeza usimamizi katika ukusanyaji wa mapto na kuwa wabunifu katika kubuni vyanzo vipya vya mapato vyenye uhalisia na tija vitakavyoleta maendeleo na ustawi wa jamii ya watu wa Ulanga na hlmashauri kwa ujumla

Hata hivyo ameongeza kuwa ili halmashauri iweze kujiimarisha kiuchumi anawaomba wananchi kulima mazao ya biashara kama vile korosho,pamba ,ufuta ,karanga miti na kokoa ili kuongeza kipato cha mwananchi mmoja mmoja na hatimae kupandisha mapato ya halmashauri

Mh. Nassoro amehitimisha kwa kusema kuw licha yakuwa na changamoto katika halmashuri hiyo ila kuna mafinikio ambayo imeipata katika kipindi cha robo ya pili Oktoba mpaka Desemba cha mwaka wa fedha 2019 / 2020 ikiwa ni pamoja na kupokea kiasi cha zaidi ya shilingi bilioni mbili(2,300,759,553.25) zilizoidhinishwa na bajeti ya bunge kwaajili ya miradi ya maendeleo

Aidha ameongeza zaidi ya shilingi milioni mia nane(841,294,228.00) zimetengwa ikiwa ni 40% ya makusanyo ya ndani ya halmashauri ,na shilingi milioni mia mbili ishirini na nne(224,647,975.25) zimeelekezwa katika miradi ya maendeleo ikiwemo soko la mahenge mjini,stendi ya lupiro, sekondari ya selina kombani pamoja na mikopo ya wanawake na vijana na watu wenye ulemavu ,na asilimia 20 utekelezaji miradi vijijni zimepelekwa zaidi ya shilingi milioni mia moja ((149,765,316.65) katika vijiji 59 vya wilaya ya Ulanga

Mwisho

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.