• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

Halmashauri ya Ulanga kumiliki Msitu

Imetumwa: July 20th, 2022

Na.Yuster Sengo

Wataalam wa wizara ya Mali asili na utalii wamefanya ziara katika Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga kwa lengo la kushirikiana na wilaya hiyo na kuhakikisha kuwa Halmashauri ya Ulanga inamiliki msitu wa hifadhi kwani suala hilo ni la kisheria

Akizungumza mara baada ya kikao cha wataalamu wa wizara na wakuu wa idara na vitengo vya Halmashauri ,Afisa Misitu mkuu Bw. Seleboni John amesema kuwa sheria inatambua kuwa Halmashauri yoyote nchini inaweza kumiliki msitu wa hifadhi ili kuweza kuongeza mapato ya Halmashauri husika

“Sheria inatambua kuwa Halmashauri inaweza kumiliki msitu kwa kuwa Halmashauri inaweza kupata kipato kwa kupitia rasilimali za misitu lakini pia inaweza kuendeleza juhudi za kihifadhi katika kuhakikisha kwamba uharibu wa misitu unapungua na uvunaji wa misitu unaendelea katika misingi ambayo ni endelevu “Amesema Bw. Seleboni John

‘kuhifadhiwa kwa misitu kuna faida nyingi ikiwa ni pamoja na miradi mikubwa amabayo inaendelea kwa sasa kama mradi wa bwawa la Mwl Nyerere na pia uhifadhi wa misitu unatusaidia katika kuleta mvua na kuondoa changamoto ya mabaidiliko ya hali ya hewa”Ameongeza Bw.Seleboni

Aidha ameongeza kuwa Halmashauri ya wilaya ya Ulanga imefanya juhudi kubwa ya kuhakikisha inamiliki na kusimamia msitu wa Halmashauri ambapo kwa hatua ya kwanza imeshaandaa mpango wa usimamizi,imefanya tathmini ya Rasilimali na kushirikisha vijiji saba vinavyozunguka msitu huo pamoja na kutoa elimu ya kutosha kwa jamii inayozunguka msitu huo

Hata hivyo amesema kwamba kwa sasa hatua iliyofikiwa ni kuandaa notisi ya serikali kwaajili ya wadau wengi zaidi kushirikishwa ili kama kuna mtu mwenye pingamizi aweze kulitoa

“kama kuna mtu atakuwa na pingamizi basi kwa hatua hii anaweza kutoa pingamizi hilo na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri atapeleka hayo mapingamizi yaliyojitokeza Wizara ya Maliasili na Utalii ili wizara iendelee na taratibu za kukamilisha Halmashauri kumiliki Msitu”Amesa Bw. Seleboni

Akizungumza  wakati wa kikao hicho Afisa Misitu wilaya ya Ulanga Bi. Florencia Massawe amewashukuru wataalam kutoka wizara ya maliasili kwa kuja kuangalia mchakato unavyoendelea na elimu waliyotoa wakati wa ziara yao

‘’Tunashukuru sana kwa Elimu mliyotupa kuhusu umiliki na usimamizi  wa msitu ,naomba muendelee kutuongoza na kutushauri ili tuweze kufika pazuri na hata wakati wa kuandaa tangazo tunaomba ushirikiaano wenu ili tutoe tangazo zuri lililo beba vitu vyote vya msingi”Amesema Bi.Massawe

Mwisho

 

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kazini July 11, 2022
  • Tangazo la Zabuni January 19, 2023
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga March 13, 2023
  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Baraza la madiwani wilayani Ulanga limepitisha makisio ya mpango wa bajeti ya jumla ya shilingi 35,218,202,000.00

    February 20, 2023
  • Baraza la madiwani wilayani Ulanga limepitisha makisio ya mpango wa bajeti ya jumla ya shilingi 35,218,202,000.00

    February 20, 2023
  • Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Ulanga afurahishwa na Maonesho ya nane nane kanda ya Mashariki

    August 08, 2022
  • Ulanga yawa Kivutio Kwa Kutengeneza Mkaa wa Makaratasi

    August 05, 2022
  • Angalia Zaidi

Video

Ziara ya Waziri wa Nishati Mh.Merdad Kalemani katika kijiji cha Epanko wilayani Ulanga
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.