• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

Maafisa watendaji wanapaswa kulinda na kusimamia mali za Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Imetumwa: December 4th, 2018

Ulanga

Na

Fatuma Mtemangani

Katibu tawala Wilaya ya Ulanga bwana Abrahamu Mwaikwira amesema kua ofisi ya mkuu wa wilaya imeona kuwa hatua za kisheria zikichukuliwa kwa baadhi ya watendaji itakuwa ni fundisho kwa wengine hivyo mwenyekiti wa Halmashauri anatakiwa kulitazama suala hilo na kuchukua hatua stahiki.

Akizungumza katika kikao cha baraza la madiwani bwana Mwaikwira amesema ofisi ya mkuu wa Wilaya itawachukula hatua kali za kisheria kwa watendaji waliohamishwa vituo vya kazi kwa kusababisha uharibifu wa makusudi wa mifuko ya saruji iliyopelekwa katika maeneo yao kwa lengo la kutumika katika ujenzi wa vyumba vya madarasa.

“Mwenyekiti wa Halmshauri kupitia baraza lako la madiwani naomba ulitazame hilo kwa jicho la tatu na uchukue hatua kali kwa mtendaji yeyote atakaefanya ubadhilifu wa mali za Halmashauri kwa makusudi kwani tukilifumbia macho litatugharimu na inaturudisha nyuma kimaendeleo”Alisema Mwaikwira.

Kutokana na ongezeko la ufaulu wa mitihani ya darasa la saba Wilayani Ulanga imeshika nafasi ya kwanzaa kwa mkoa wa morogoro na nafasi ya 16 kitaifa hivyo kufanya kuwe na idadi kubwa ya wanafunzi watakaojiunga na elimu ya sekondari kwa mwaka 2019.

Aidha ufaulu huo umepelekea upungufu wa vyumba vya madarasa,viti pamoja na meza kwa wanafunzi watakaojiunga kidato cha kwanza hivyo watendaji wanapaswa kusimamia majukumu yao kwa kuzilinda mali za Halmashauri katika kata zao .

Mwisho.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA 2018 December 10, 2018
  • Matokeo kidato cha nne January 24, 2019
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA ULANGA October 25, 2018
  • MALI ZINAZOKODISHWA NA HALMASHAURI YA WILAYA March 22, 2018
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Kamati ya bunge ya Maliasili,Utalii na Ardhi yafanya ziara wilaya ya Ulanga,Kilombero na Malinyi

    February 06, 2019
  • baraza la madiwani lapitisha bajetiya zaidi ya shilingi bilioni 26 kwa kipindi chamwaka 2019/2020

    January 31, 2019
  • mkuu wa wilaya ya Ulanga awataka madiwani kuwazuia wananchi wanao vamia maeneo ya hifadhi

    January 31, 2019
  • halmashauri ya wilaya ya ulanga imeshika nafasi ya pili kimkoa katika matokeo ya kidato cha nne 2018

    January 25, 2019
  • Angalia Zaidi

Video

Uzinduzi wa Daraja la Magufuli
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.